Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,511
- 5,390
Kumbe ansaralla anajificha etiiii. Sasa anaogopa nn hadi ajificheKa
Kama Netanyahu kashindwa kuwakomboa mwaka sasa ataweza kujua alipo ansaralla
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ansaralla anajificha etiiii. Sasa anaogopa nn hadi ajificheKa
Kama Netanyahu kashindwa kuwakomboa mwaka sasa ataweza kujua alipo ansaralla
Kama Netanyahu kashindwa kuwakomboa mwaka sasa ataweza kujua alipo ansarallMwambie Nasrallah atoke huko mapongoni Netanyahu anataka kumsalimia.
Hawezi kuwaogopa wanamgambo wa IsraelKumbe ansaralla anajificha etiiii. Sasa anaogopa nn hadi ajifiche
Amka kumekucha angalia usije ukajisaidia Kitandani kakaEndelea hivyo hivyo kujifariji, lakini kaa ukijua myahudi hana cha msalie mtume huko mashariki ya kati, anapukutisha magaidi kama uchafu, Hizibulah anajuta kuingilia ya Hamas, hakuna gaidi wakuchomoka huko Lebanon akiwa hai.
Ile ni ajali kama ajali zingine acha kupiga ramli chonganishiKweli ukiwa na maono hafifu ni mzigo.
Myahudi,alisema:Wamelianzisha wao itatakiwa walimalize wao pia.
Mwaka Sasa,watu wazima wanalia kilio kimoja karibia ukanda wamashariki ya kati.
Unaleta fyoo,unapigiwa kwenu.
Popote utakapotolea sauti ndiio huko huko utafatwa.
Hakuna jambo lililowaogopesha kama la Rais WA Iran kuliwa kichwa Tena nyumbani kwake.
Mwanzoni mlikuwa mnasemaje.
Nyie hamuogopi!.
Ilikua kisasi.Ikawa visasi.Ngoja tufikie kwenye masasi.Wakimuua nasrallah wenyewe wanajua nini kitakuwa kisasi chake
Pole sanaIle ni ajali kama ajali zingine acha kupiga ramli chonganishi
ThubuuuuMwambie Nasrallah atoke huko mapongoni Netanyahu anataka kumsalimia.
Ni magaidi yenye mlengo wa kidini. Ila sijajua ni dini ipi kati ya dini ya kikiristo au kiislam. Wadau nisaidieni kwa hiliKwa akili ya kawaida ,kama siyo kichaa huwezi amini kwamba hezibollah atapigana na Israel halafu amshinde, hezibollah ni kundi dogo sana ndani ya nchi ya Lebanon, ni kikundi kidogo cha waasi, hawana mamlaka kamili .
Hao Hezbolaah wapo wakristo na waislamu humo humo mkuuNi magaidi yenye mlengo wa kidini. Ila sijajua ni dini ipi kati ya dini ya kikiristo au kiislam. Wadau nisaidieni kwa hili