mtwa mkulu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 8,586
- 11,227
Karibu!
Katika uzi huu tujadili yanayojiri moja kwa moja ziara za Muenezi Taifa Ndugu Paul Makonda. Tuanze na Makambako alipokuwepo siku ya jana 09 /02/2024.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaaHakika Chama kimepata jembe katika wakati sahihi
CDE Paul C. Makonda ndio nembo ya Chama kwa Sasa.
Yaani na mm nimeshangaa aiseeNachofurahia kamfunika nchimbi. Hivyo kumfanya irrelevant kisiasa.
Na jembe ili liwe jembe kamili lazima likongomekwe mpini kwanza.Hakika Chama kimepata jembe katika wakati sahihi
CDE Paul C. Makonda ndio nembo ya Chama kwa Sasa.