komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point...yani umeongea ukwel mtupu jomba,Siishi nje ya nchi naishi hapa hapa Tanzania naelewa vizuri mode of operation, sihitaji ripoti iliyoandikwa na mtu mwingine utadhani mimi siko Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii wanachofanya si sawa kabisaHao ni Polisi wa Kenya mavazi yao yana aibisha jeshi la kdf arafu polisi wa Kenya wananjaa angalia afya zao sijui wanakunywa changaa hawana tofauti na uganda
Sent using Jamii Forums mobile app
Ivi Tz tumepona ponaje aiseeJaman Kenya wenzetu Wana uhuru wa kujieleza hadi raha sio Tanzania kidogo tu bunapigwa unafungwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kutoka 300 hadi 37. 😀This is the lowest number At least 37 people were killed in election violence
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha, katiba mpya?, mavi ya kuku ya katiba mpya.Uchaguzi uliopita chini ya katiba mpya, wakenya 300 waliuliwa na kwa kupigwa risasi na polisi, hiyo katiba mpya inasaidia nini?
Tangu Kenya imepata uhuru wake, imekua kinara wa police brutality, hakuna tofauti kati ya kipindi cha Moi wala hiki cha Uhuru Kenyatta, Kenya imeendelea kubaki kileleni hapa Afrika, huo unafuu unaosema ni upi?.
Hizo kelele na kupinga hivi vitendo mnazopiga zinasaidia nini Kama kila mwaka Kenya inaendelea kushika namba moja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si mnasema Kenyata ndiye rais bora afrika mashariki!!! Ndiyo ameonyesha ubora wake hivyo
The lowest is 37, the highest is 300[emoji23][emoji23][emoji23]Kutoka 300 hadi 37. 😀
Wewe nitajie visa vya ukatili wa police wa Tanzania sio porojo.[emoji1][emoji1][emoji1] Nimeuliza swali tofauti sana, ila unavojitia hamnazo inaeleza yote ambayo mwenye akili anayajua.
This is very primitive behaviour by our police. Kenyan police is one of the most brutal in the world. Such things make me hate our police completely. Hii ni nchi ya ujinga sana. Polisi wanatreat wananchi kama mbwa. Wanapiga wanawake rungu? Wanawapiga 2 hours before curfew? Halafu rais Kenyatta atanyamaza, hataongea kuhusu huu unyama. Hii nchi ni ya ujinga sana. I am ashamed to be a Kenyan.
Asante kwa ukarimu wako. Mimi kwa bahati ya mwenyezi Mungu ni Mkenya anayeishi maisha rahisi ambayo haijakuwa na ukali mwingi. Masomo nimeyapata hadi nje ya nchi. Tanzania napanga kuja kutembea hivi karibuni. Nyie mna undugu na umoja na hilo ni jambo nzuri sana. Msipoteze ukarimu wenu. Huwa nahisi huzuni ninapoona jinsi polisi wetu wanavyomistreat watu wetu. Lakini hakuna jambo ninaloweza kufanya kuzuia jambo hili.Hamia Tanzania Kaka...what we see in Kenya is shame.... citizens are poor and landless, no food security, no assurance of their dail meals and yet you lock them in houses by 7pm....shame!!!
Njoo nikupe shamba Tanzania free...in 2 years you will be a different person.Wakenya waliohamia TZ saivi wamesahau English wanahesabu pesa Tu.Usisahau matajiri wa East Africa wanapatikana Tanzania.Take a serious step bro
Sent using Jamii Forums mobile app
KenyaAsante kwa ukarimu wako. Mimi kwa bahati ya mwenyezi Mungu ni Mkenya anayeishi maisha rahisi ambayo haijakuwa na ukali mwingi. Masomo nimeyapata hadi nje ya nchi. Tanzania napanga kuja kutembea hivi karibuni. Nyie mna undugu na umoja na hilo ni jambo nzuri sana. Msipoteze ukarimu wenu. Huwa nahisi huzuni ninapoona jinsi polisi wetu wanavyomistreat watu wetu. Lakini hakuna jambo ninaloweza kufanya kuzuia jambo hili.
1,000 pages constitution inasemaje kuhusu hili.This is very primitive behaviour by our police. Kenyan police is one of the most brutal in the world. Such things make me hate our police completely. Hii ni nchi ya ujinga sana. Polisi wanatreat wananchi kama mbwa. Wanapiga wanawake rungu? Wanawapiga 2 hours before curfew? Halafu rais Kenyatta atanyamaza, hataongea kuhusu huu unyama. Hii nchi ni ya ujinga sana. I am ashamed to be a Kenyan.