Yanayotokea Kenya ni aibu tupu, tazameni hii video

Yanayotokea Kenya ni aibu tupu, tazameni hii video

Sasa hawa watu wanapigwa kwa kosa gani?, mbona hao wamama hawajafanya kosa lolote?.

Tatizo la viongozi wa Kenya hawana uwezo kabisa, wanakurupuka Sana bila maandalizi yoyote, miradi yao karibu yote inashindikana kwa sababu ya kukosa maandalizi

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiseme viongozi wa Kenya sema viongozi wa Africa, we unadhani lock down ikitangazwa hapa bongo hayatatokea hayo yanayotokea Kenya? Tena ya hapa yatakuwa makubwa kuliko Kenya.
Jeshi la wananchi, polisi, JKT, Magereza wote wataingia mtaani kupiga watu na amri hiyo itatolewa na mamlaka za juu maana sisi wabongo pia ni wabishi na wajuaji bila kipigo lock down haitekelezeki[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LOL kwani kuchezea kichapo cha police mmeanza leo?

Mbona police wenu wamekua wakiwanyuka since day one? Hahaha kujishaua tu.
Wanaongoza kwa police brutality Africa nzima, tangu Kenya ipate Uhuru wake, bado utasikia chizi fulani anakuambia wanao uhuru wa kulalamika, unasaidia nini Kama hauleti mabadiliko yoyote?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiseme viongozi wa Kenya sema viongozi wa Africa, we unadhani lock down ikitangazwa hapa bongo hayatatokea hayo yanayotokea Kenya? Tena ya hapa yatakuwa makubwa kuliko Kenya.
Jeshi la wananchi, polisi, JKT, Magereza wote wataingia mtaani kupiga watu na amri hiyo itatolewa na mamlaka za juu maana sisi wabongo pia ni wabishi na wajuaji bila kipigo lock down haitekelezeki[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
Police wa Kenya wanaongoza Africa nzima katika "Police brutality & Extrajudicial killings ". Wewe unalolesama ni jinsi unavyofikiria wewe kwamba itakuwa hivyo, hayo ni mawazo yako, kuna mwengine anafikiria tofauti na wewe, tusubiri tuone.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaongoza kwa police brutality Africa nzima, tangu Kenya ipate Uhuru wake, bado utasikia chizi fulani anakuambia wanao uhuru wa kulalamika, unasaidia nini Kama hauleti mabadiliko yoyote?

Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na kufikiri kwamba kubadilisha jina kutoka police force kwenda police service wakifikiri ndio kichapo kingepungua lakini wapi bado wanachezea mkong'oto

Rwanda nao wana swags kama hizo, logo yao ipo kiuponyaji-uponyaji lakini wao ndio juzi wamewatwanga raia wao wawili risasi wakafa kisa wametoka nje 🤔

nxB3pmlp_400x400.jpg
 
LOL kwani kuchezea kichapo cha police mmeanza leo?
Mbona police wenu wamekua wakiwanyuka since day one? Hahaha kujishaua tu.
Kwahivyo unadhani wakenya wanaunga mkono upumbavu kama huo wa ukiukaji wa haki zao? Najua hujashiriki kwenye maandamano hata siku moja maishani mwako, kwahivyo mitazamo yetu itakuwa ni tofauti sana. Vitu kama hivyo ni vya kukemewa iwe ni nchini Kenya, Uganda au Tanzania. Huwa nawashangaa sana mnapowashabikia polisi wenu kila mara wanapowadhulumu wapinzani nchini Tz. Leo kwa unafiki wenu mpo hapa mkikemea. Kwa taarifa yako, matukio kama hayo yalikuwa ya kawaida sana zamani wakati wa utawala wa dikteta Moi. Ila baada ya katiba mpya na kubuniwa kwa shirika huru la kuchunguza vitengo vya usalama angalau kuna afueni na haki huwa inapatikana mwishowe kupitia mahakama. Vipi kuhusu Tz, polisi kutembeza virungu na kuwakung'uta huwa ni haki yao?
 
Kwahivyo unadhani wakenya wanaunga mkono upumbavu kama huo wa ukiukaji wa haki zao? Najua hujashiriki kwenye maandamano hata siku moja maishani mwako, kwahivyo mitazamo yetu itakuwa ni tofauti sana. Vitu kama hivyo ni vya kukemewa iwe nchini Kenya, Uganda au Tanzania. Huwa nawashangaa sana mnapowashabikia polisi wenu kila mara wanapowadhulumu wapinzani nchini Tz. Leo kwa unafiki wenu mpo hapa mkikemea. Kwa taarifa yako matukio kama hayo yalikuwa ya kawaida sana zamani wakati wa utawala wa dikteta Moi. Ila baada ya katiba mpya na shirika huru la kuchunguza vitengo vya usalama angalau kuna afueni na haki huwa inapatikana mwishowe kupitia mahakama. Vipi kuhusu Tz, polisi kutembeza virungu na kuwakung'uta na haki yao?
Hahahaha, katiba mpya?, mavi ya kuku ya katiba mpya. Uchaguzi uliopita chini ya katiba mpya, wakenya 300 waliuliwa na kwa kupigwa risasi na polisi, hiyo katiba mpya inasaidia nini?

Tangu Kenya imepata uhuru wake, imekua kinara wa police brutality, hakuna tofauti kati ya kipindi cha Moi wala hiki cha Uhuru Kenyatta, Kenya imeendelea kubaki kileleni hapa Afrika, huo unafuu unaosema ni upi?.
Hizo kelele na kupinga hivi vitendo mnazopiga zinasaidia nini Kama kila mwaka Kenya inaendelea kushika namba moja?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha, katiba mpya?, mavi ya kuku ya katiba mpya. Uchaguzi uliopita chini ya katiba mpya, wakenya 300 waliuliwa na kwa kupigwa risasi na polisi, hiyo katiba mpya inasaidia nini?

Tangu Kenya imepata uhuru wake, imekua kinara wa police brutality, hakuna tofauti kati ya kipindi cha Moi wala hiki cha Uhuru Kenyatta, Kenya imeendelea kubaki kileleni hapa Afrika, huo unafuu unaosema ni upi?.
Hizo kelele na kupinga hivi vitendo mnazopiga zinasaidia nini Kama kila mwaka Kenya inaendelea kushika namba moja?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jadili haya masuala ukitumia facts, sio mihemko ya ovyo. Maanake hujui historia ya Kenya enzi hizo, wakati wa miaka 24 ya udikteta wa Moi. Ndio yale yale mnayoyapitia sasa hivi na wasiojulikana na swag zao za kupotezana na kuwanyamazisha.
 
Police wa Kenya wanaongoza Africa nzima katika "Police brutality & Extrajudicial killings ". Wewe unalolesama ni jinsi unavyofikiria wewe kwamba itakuwa hivyo, hayo ni mawazo yako, kuna mwengine anafikiria tofauti na wewe, tusubiri tuone.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajiongelesha tu kwakuwa una bando.
Kenya na Tanzania tofauti ni ndogo sana bora hata Kenya, hapa kwetu tuna police force subiri itokee lock down uone watu wanavyovunjwa miguu na viuno.

Unasahau walemavu walivyokung'utwa miaka flani ya nyuma Dsm.
Labda unawahu kusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polisi nchi zetu hizi ni takataka kabisa..
 

Attachments

  • IMG-20200328-WA0003.jpg
    IMG-20200328-WA0003.jpg
    66.5 KB · Views: 1
Waafrika ni Kama ng'ombe wanahitaji kuswagwa,viongozi wakichukua hatua tunalalamika wasipochukua tunalalamika.
Na kesho tunachagua viongozi hao hao kwa nderemo na vifijo tunaowalalamikia leo.
Hata ukileta malaika kutawala Afrika atafanya hivyo hivyo.
 
Kwani huo sio ukiukaji wa haki za kibinadamu hata nchini Kenya? Labda kama unazungumza kwa niaba ya polisi. Umesahau kuongeza kwamba ingekuwa ni Tz, waliofanya uovu kama huo wangepandishwa vyeo na isipokuwa wananchi, tena kwa uoga uoga kwenye mitandao, hakuna kiongozi yeyote ambaye angewakashifu hadharani. Kenya tayari tunaelewa kuhusu ukiukaji wa haki za kibinadamu na mipaka ya majukumu ya polisi. Kwahivyo huwa hatungoji vilio vya ukiukaji wa haki za kibinadamu vitoke nje ya nchi au kwa majirani. Isitoshe kando na kuonesha kutopendezwa kwetu na upumbavu kama huo, kupitia maandamano. Bado kuna shirika huru la kuchunguza rasmi 'conduct' ya polisi kwenye matukio kama hayo, IPOA.
Ume pingua ukweli mkuu wa mkoa wa dar aliwaikufanya hivyo kutuma askali kupiga watu sababu ya kufanya usafi dar unajua kilicho taka kumtokea ?? Raisi wetu anapambana na wafanyakazi wa serikali wasio wajibika siyo wananchi wa kawaida kinyume na raisi wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajiongelesha tu kwakuwa una bando.
Kenya na Tanzania tofauti ni ndogo sana bora hata Kenya, hapa kwetu tuna police force subiri itokee lock down uone watu wanavyovunjwa miguu na viuno.

Unasahau walemavu walivyokung'utwa miaka flani ya nyuma Dsm.
Labda unawahu kusahau

Sent using Jamii Forums mobile app
Onyesha ripoti yoyote ile ya kimataifa ambapo polisi Tanzania imetajwa kuwa katika top ten in police killings or brutality
Kenya tops Africa in police killings

Sent using Jamii Forums mobile app
 
This is very primitive behaviour by our police. Kenyan police is one of the most brutal in the world. Such things make me hate our police completely. Hii ni nchi ya ujinga sana. Polisi wanatreat wananchi kama mbwa. Wanapiga wanawake rungu? Wanawapiga 2 hours before curfew? Halafu rais Kenyatta atanyamaza, hataongea kuhusu huu unyama. Hii nchi ni ya ujinga sana. I am ashamed to be a Kenyan.
Buda hao walirusha mawe GSU ndio manake ikabidi walalalie kichapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiufupi Kenya Rwanda etc wanekurupuka.
You cant lock african countries.
Either people will die from hunger.
Yani wao wakishajaza mafriji yao na magrezer yao basi wanaona kila mtu can do that.
 
Back
Top Bottom