Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 65,136
- 91,917
They lack English manner!They pretend to speak English but they don't have an english mindset. They are worse than savages.
#Akilizahandshake#
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
They lack English manner!They pretend to speak English but they don't have an english mindset. They are worse than savages.
#Akilizahandshake#This is very primitive behaviour by our police. Kenyan police is one of the most brutal in the world. Such things make me hate our police completely. Hii ni nchi ya ujinga sana. Polisi wanatreat wananchi kama mbwa. Wanapiga wanawake rungu? Wanawapiga 2 hours before curfew? Halafu rais Kenyatta atanyamaza, hataongea kuhusu huu unyama. Hii nchi ni ya ujinga sana. I am ashamed to be a Kenyan.
Nyani haoni kundule.They pretend to speak English but they don't have an english mindset. They are worse than savages.
#Akilizahandshake#This is very primitive behaviour by our police. Kenyan police is one of the most brutal in the world. Such things make me hate our police completely. Hii ni nchi ya ujinga sana. Polisi wanatreat wananchi kama mbwa. Wanapiga wanawake rungu? Wanawapiga 2 hours before curfew? Halafu rais Kenyatta atanyamaza, hataongea kuhusu huu unyama. Hii nchi ni ya ujinga sana. I am ashamed to be a Kenyan.
Wewe kijakazi wa nyang'au usinipotezee muda.Nyani haoni kundule.
Heri wewe umeliona hili, tukisema sisi mnasema tunaichukia Kenya, but Kenyan police is the most brutal in the World, hovyo kabisa.This is very primitive behaviour by our police. Kenyan police is one of the most brutal in the world. Such things make me hate our police completely. Hii ni nchi ya ujinga sana. Polisi wanatreat wananchi kama mbwa. Wanapiga wanawake rungu? Wanawapiga 2 hours before curfew? Halafu rais Kenyatta atanyamaza, hataongea kuhusu huu unyama. Hii nchi ni ya ujinga sana. I am ashamed to be a Kenyan.
Wameingia kichwa kichwa..
Mimi sijawahi kuogopa kusema ukweli ilivyo. Mimi sipo JF kumfurahisha mtu yeyote. Mimi naongea ukweli ninavyoiona. Hii nchi ina ujinga. Vitu kama hivi ndio vinafanya nachukia hii nchi. Hii police brutality ni unnecessary. Halafu wanasiasa wananyamaza tu kwa sababu sio wao wanaoumia. Unapiga wanawake hivyo kwa nini? Huna mama au dada?Heri wewe umeliona hili, tukisema sisi mnasema tunaichukia Kenya, but Kenyan police is the most brutal in the World, hovyo kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1] Nyani haoni kundule kweli. Ila ni taswira mbaya sana kutoka kwa Kenya Police. Wazo lenyewe la curfew lipo sawa, maanake inasemekana kwamba wakenya wanazingatia maagizo ya wizara ya afya mchana, lakini giza likiingia wanarudi kwenye mazoea yao ya kawaida. Natumai watalegeza muda iwe ni kutoka saa 2 au 3 usiku. Nachojua kwa uhakika ni kwamba kamanda wa polisi na vijana wake waliohusika kwenye tukio hilo bovu lazima watawajibika. Hivi karibuni, mbele ya shirika huru la kuchunguza 'conduct' ya Kenya Police, yaani IPOA(Independent Police Oversight Authority).Nyani haoni kundule.
Sasa Subiri wakenya wenzako watakavyo tetea hii ujinga kwa kujenga hoja za kijinga kabisa kwa kulinganisha na Tanzania, wanajia kwamba Kenyan police brutality is the worst in the world, lakini bado kuna watu wanaendelea kuwatetea ili wasionekane wanazidiwa na Tanzania, stupid.Mimi sijawahi kuogopa kusema ukweli ilivyo. Mimi sipo JF kumfurahisha mtu yeyote. Mimi naongea ukweli ninavyoiona. Hii nchi ina ujinga. Vitu kama hivi ndio vinafanya nachukia hii nchi. Hii police brutality ni unnecessary. Halafu wanasiasa wananyamaza tu kwa sababu sio wao wanaoumia. Unapiga wanawake hivyo kwa nini? Huna mama au dada?
There are always two sides to every story.Wakenya Wengine nao ni vichwa ngumu hawataki kufuata maagizo na mikakati waliowekewa .This is very primitive behaviour by our police. Kenyan police is one of the most brutal in the world. Such things make me hate our police completely. Hii ni nchi ya ujinga sana. Polisi wanatreat wananchi kama mbwa. Wanapiga wanawake rungu? Wanawapiga 2 hours before curfew? Halafu rais Kenyatta atanyamaza, hataongea kuhusu huu unyama. Hii nchi ni ya ujinga sana. I am ashamed to be a Kenyan.
Wameshakuja naona wameanza kuchagua zile comment zinazo unga mkono ujinga wao 😂😂😂Sasa Subiri wakenya wenzako watakavyo tetea hii ujinga kwa kujenga hoja za kijinga kabisa kwa kulinganisha na Tanzania, wanajia kwamba Kenyan police brutality is the worst in the world, lakini bado kuna watu wanaendelea kuwatetea ili wasionekane wanazidiwa na Tanzania, stupid.
Sent using Jamii Forums mobile app