Yanayotokea Kenya ni aibu tupu, tazameni hii video

Yanayotokea Kenya ni aibu tupu, tazameni hii video

[emoji1][emoji1][emoji1] Nyani haoni kundule kweli. Ila ni taswira mbaya sana kutoka kwa Kenya Police. Wazo lenyewe la curfew lipo sawa, maanake inasemekana kwamba wakenya wanazingatia maagizo ya wizara ya afya mchana, lakini giza likiingia wanarudi kwenye mazoea yao ya kawaida. Natumai watalegeza muda iwe ni kutoka saa 2 au 3 usiku. Nachojua kwa uhakika ni kwamba kamanda wa polisi na vijana wake waliohusika kwenye tukio hilo bovu lazima watawajibika. Hivi karibuni, mbele ya shirika huru la kuchunguza 'conduct' ya Kenya Police, yaani IPOA(Independent Police Oversight Authority).

#Akilizahandshake#

CC: Zigi Rizla Kafrican Depay Teargass Tony254 pingli-nywee komora096
 
People are coughing due to teargas thus spreading the virus very quickly in such congested condition.
 
Kitu kinachonishangaza ni mbona Tanzania seems to feel like Corona is a myth? 😂😂😂

You can't find this hype anywhere in Tanzania.
 
Nipe nikupe [emoji23][emoji23]
IMG_20200328_071348_351.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati kwengine mamlaka zao zikipiga, kujeruhi na kuua raia wake ili kukabiliana na Corona and lock down stuff


Tanzania wanatekeleza maagizo ya Rais.
 
Hii ingetokea TZee ungesikia vilio vya human right abuse kwenye kila gazeti la nchi jirani wakisaidiwa na cheerleaders wao wa hapa JF.
Kwani huo sio ukiukaji wa haki za kibinadamu hata nchini Kenya? Labda kama unazungumza kwa niaba ya polisi. Umesahau kuongeza kwamba ingekuwa ni Tz, waliofanya uovu kama huo wangepandishwa vyeo na isipokuwa wananchi, tena kwa uoga uoga kwenye mitandao, hakuna kiongozi yeyote ambaye angewakashifu hadharani. Kenya tayari tunaelewa kuhusu ukiukaji wa haki za kibinadamu na mipaka ya majukumu ya polisi. Kwahivyo huwa hatungoji vilio vya ukiukaji wa haki za kibinadamu vitoke nje ya nchi au kwa majirani. Isitoshe kando na kuonesha kutopendezwa kwetu na upumbavu kama huo, kupitia maandamano. Bado kuna shirika huru la kuchunguza rasmi 'conduct' ya polisi kwenye matukio kama hayo, IPOA.
 
Hivi hii mi-Askari ya Afrika ina matatizo gani?! Ina maana issue kama hii ni ya kutumia nguvu kubwa kiasi hicho badala ya kuwaelimisha?!
 
Kwani huo sio ukiukaji wa haki za kibinadamu hata nchini Kenya? Labda kama unazungumza kwa niaba ya polisi. Umesahau kuongeza kwamba ingekuwa ni Tz, waliofanya uovu kama huo wangepandishwa vyeo na isipokuwa wananchi, tena kwa uoga uoga kwenye mitandao, hakuna kiongozi yeyote ambaye angewakashifu hadharani. Kenya tayari tunaelewa kuhusu ukiukaji wa haki za kibinadamu na mipaka ya majukumu ya polisi. Kwahivyo huwa hatungoji vilio vya ukiukaji wa haki za kibinadamu vitoke nje ya nchi au kwa majirani. Isitoshe kando na kuonesha kutopendezwa kwetu na upumbavu kama huo, kupitia maandamano. Bado kuna shirika huru la kuchunguza rasmi 'conduct' ya polisi kwenye matukio kama hayo, IPOA.
Ili kuboresha mjadala wetu, maneno yako yanarikodiwa.
Hahahaha, hahahaha, hahahaha.
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani huo sio ukiukaji wa haki za kibinadamu hata nchini Kenya? Labda kama unazungumza kwa niaba ya polisi. Umesahau kuongeza kwamba ingekuwa ni Tz, waliofanya uovu kama huo wangepandishwa vyeo na isipokuwa wananchi, tena kwa uoga uoga kwenye mitandao, hakuna kiongozi yeyote ambaye angewakashifu hadharani. Kenya tayari tunaelewa kuhusu ukiukaji wa haki za kibinadamu na mipaka ya majukumu ya polisi. Kwahivyo huwa hatungoji vilio vya ukiukaji wa haki za kibinadamu vitoke nje ya nchi au kwa majirani. Isitoshe kando na kuonesha kutopendezwa kwetu na upumbavu kama huo, kupitia maandamano. Bado kuna shirika huru la kuchunguza rasmi 'conduct' ya polisi kwenye matukio kama hayo, IPOA.
LOL kwani kuchezea kichapo cha police mmeanza leo?

Mbona police wenu wamekua wakiwanyuka since day one? Hahaha kujishaua tu.
 
Back
Top Bottom