Smith Rowe
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 4,319
- 9,003
Wakenya walianza kulalamika mda sana kuhusu Zakayo kusafiri sana kutafuta mikopo lakini maisha yao bado ni magumu.
Vijana wako mtaani mambo yao ni magumu ajira hamna, mazingira ya biashara ni magumu, hawasikilizwi, wakilalamika viongozi wanajifanya viziwi.
Viongozi kutwa kucha kupitisha miswada ya kujilimbikizia mali, kujinunulia magari ya kifahari, kuiba mali za umma na kufanyia biashara zao.
Matokeo yake kila mtu analalamika mitaani bado wakakataa finance bill lakini viongozi wanawaona wao hawajui kitu wakaipitisha na hayo ni madhara yake.
Na Tanzania asilimia 100 yanayofanyika ni sawa na Kenya tofauti ni kuwa tuu Watanzania hawajaingia barabarani.
Kusikia kwa kenge ni paka atoke damu.
Nachoweza kusema ni kuwa Amani ni tunda la haki.
Viongozi wa kisiasa wakishachaguliwa wanasahau walio waweka madarakani ni wananchi na watakao watoa madarakani ni wananchi ikiwa hawataenda sawa na matakwa ya wananchi, either kwa kura au kwa damu.
Vijana wako mtaani mambo yao ni magumu ajira hamna, mazingira ya biashara ni magumu, hawasikilizwi, wakilalamika viongozi wanajifanya viziwi.
Viongozi kutwa kucha kupitisha miswada ya kujilimbikizia mali, kujinunulia magari ya kifahari, kuiba mali za umma na kufanyia biashara zao.
Matokeo yake kila mtu analalamika mitaani bado wakakataa finance bill lakini viongozi wanawaona wao hawajui kitu wakaipitisha na hayo ni madhara yake.
Na Tanzania asilimia 100 yanayofanyika ni sawa na Kenya tofauti ni kuwa tuu Watanzania hawajaingia barabarani.
Kusikia kwa kenge ni paka atoke damu.
Nachoweza kusema ni kuwa Amani ni tunda la haki.
Viongozi wa kisiasa wakishachaguliwa wanasahau walio waweka madarakani ni wananchi na watakao watoa madarakani ni wananchi ikiwa hawataenda sawa na matakwa ya wananchi, either kwa kura au kwa damu.