Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Mchezo wa kwanza wa robo fainali ya Azam Sports Federation utapigwa usiku huu ambapo Yanga atawakaribisha Geita Gold katika dimba la Benjamin Mkapa.
Kwa live updates tukutane hapa saa 1::00 usiku
=================
Mchezo umeanza na timu zote zinashambuliana kwa zamu.
Dk ya 20: Geita wanacheza kwa kuvizia kufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Dk ya 30: Geita Gold wanacheza vizuri na kufanikiwa kufanya mashambulizi kadhaa
Dk ya 40: Yanga wanaongeza kasi ya kushambulia lakini ulinzi wa Juma Nyosso na Kelvin Yondani unakuwa imara.
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza.
Dk ya 60: Yanga wanaonekana kuongeza presha ya mashambulizi.
Dk ya 70: Yondani anamfuta Mayele wanajibizana baada ya Mayele kumchezea faulo Yondani
Dk ya 75: Mayele anakosa bao baada ya shuti lake kumgonga mlinzi wa Geita na inakuwa kona.
Dk ya 80: Makambo ameingia, ametoka Mauya, mabadiliko upande wa Yanga.
Dk ya 83: Yanga wanafanya mashambulizi mawili makali ndani ya muda mfupi. Presha imeongezeka mchezoni.
Dk ya 86: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Geita wanapata bao. Mahadhi anaifungia Geita baada ya pasi nzuri walizocheza.
Dk ya 90: Yanga wanapata penati baada ya beki wa Geita kuushika mpira.
DK ya 90: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Yanga wanasawazisha kupitia kwa Djuma Shaban kwa penati.
Dakika 90 zimekamilika mwamuzi anapuliza filimbi.
Muda wa penati.
Yanga wanashinda kwa penati 7-6, hivyo wanafanikiwa kusonga Hatua ya Nusu Fainali.
Kwa live updates tukutane hapa saa 1::00 usiku
=================
Mchezo umeanza na timu zote zinashambuliana kwa zamu.
Dk ya 20: Geita wanacheza kwa kuvizia kufanya mashambulizi ya kushtukiza.
Dk ya 30: Geita Gold wanacheza vizuri na kufanikiwa kufanya mashambulizi kadhaa
Dk ya 40: Yanga wanaongeza kasi ya kushambulia lakini ulinzi wa Juma Nyosso na Kelvin Yondani unakuwa imara.
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza.
Dk ya 60: Yanga wanaonekana kuongeza presha ya mashambulizi.
Dk ya 70: Yondani anamfuta Mayele wanajibizana baada ya Mayele kumchezea faulo Yondani
Dk ya 75: Mayele anakosa bao baada ya shuti lake kumgonga mlinzi wa Geita na inakuwa kona.
Dk ya 80: Makambo ameingia, ametoka Mauya, mabadiliko upande wa Yanga.
Dk ya 83: Yanga wanafanya mashambulizi mawili makali ndani ya muda mfupi. Presha imeongezeka mchezoni.
Dk ya 86: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Geita wanapata bao. Mahadhi anaifungia Geita baada ya pasi nzuri walizocheza.
Dk ya 90: Yanga wanapata penati baada ya beki wa Geita kuushika mpira.
DK ya 90: GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
Yanga wanasawazisha kupitia kwa Djuma Shaban kwa penati.
Dakika 90 zimekamilika mwamuzi anapuliza filimbi.
Muda wa penati.
Yanga wanashinda kwa penati 7-6, hivyo wanafanikiwa kusonga Hatua ya Nusu Fainali.