Azam fc msiwaache hawa manyani fc piga hao piga matopolo piga pigaaaaaaaLeo kutakuwa na Mtinange wa Kukata na Shoka kati Yanga na Azam FC, mechi hii itaanza majira ya saa 1:00 usiku Uwanja wa Benjamini Mkapa
Tunajua ugumu wa game hii ya leo kizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.
Azam wanaupiga mwingi aiseeeLeo kutakuwa na Mtinange wa Kukata na Shoka kati Yanga na Azam FC, mechi hii itaanza majira ya saa 1:00 usiku Uwanja wa Benjamini Mkapa
Tunajua ugumu wa game hii ya leo kizingati timu hizi zinapokutana hupigwa mpira wa nguvu sana.
Mungu Ibariki Yanga! I love this Football Club so much! Yaani from my heart. 💛💚
Ugomvi huo!Yanga kwa off target tu hawajambo
wazee wa off target, mivimbo kama yote😅😅Mungu Ibariki Yanga! I love this Football Club so much! Yaani from my heart. 💛💚
Am proud to be Mwananchi. 💪
Kabsa penalty ya wazi wazi hawa ndio marefaRefa kapeta penalty ya wazi