logframe
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,242
- 5,543
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwann refa aipendelee yanga na sio azam?Na refa
hatushindwi tunachezesha tuToeni wenge lenu humu, mkitaka mkachezeshe.
Azam ina jiaminiKwann refa aipendelee yanga na sio azam?
Was kugombea nafasi yaa pili!Upinzani wa Nini kuchukua makombe au?
Marefa hua wanatafsiri sheria wajisikiavyo wao sio watakavyo mashabiki. Nakumbuka mechi ya Simba vs Galaxy kwa Mkapa,. Mchezaji wa Galaxy aliyekuwa amemiliki mpira alichezewa faulo dhhiri shahiri kabisa lakini refa akapeta mwisho wa siku Simba ikapata goli kwa kunufaika na tukio lile.Na refa
Sheria gani ambayo inamruhusu refa kupeta penalty ambayo mchezaji kachezewa rough kwenye penalty box?Marefa hua wanatafsiri sheria wajisikiavyo wao sio watakavyo mashabiki. Nakumbuka mechi ya Simba vs Galaxy kwa Mkapa,. Mchezaji wa Galaxy aliyekuwa amemiliki mpira alichezewa faulo dhhiri shahiri kabisa lakini refa akapeta mwisho wa siku Simba ikapata goli kwa kunufaika na tukio lile.
Ya kuwakilisha taifa Afrika au?Was kugombea nafasi yaa pili!
Kwahiyo kila tukio la mchezaji kudondoshwa chini ni faulo?Sheria gani ambayo inamruhusu refa kupeta penalty ambayo mchezaji kachezewa rough kwenye penalty box?
Ni sheria gani ambayo refa ina mruhusu kuweka goal kona?
Huwezi kukubali bila kuweka neno kubebwa?Pamoja na kubebwa ila Yanga mpira anacheza, Aucho what a player[emoji1316]
wameikataa wanasema ni physical contactAfu ngoja niwaskie wachambuzi kama wataikataa ile penalty
Hapana hujasikia vizuri, ile ni penalty hajatumia directly wordswameikataa wanasema ni physical contact