Azam inahujumiwa sanaClear penalty
Yaani wazi kabisaaaAzam inahujumiwa sana
Huwa wanakata pumzi, inabidiYanga wamekuja na plan ya goli ya mapema ,wakishindwa tu kipindi cha kwanza basi
mpira umerudishwa toka njeMpira wa bongo una safari ndefu sana
Halafu ikawaje?!mpira umerudishwa toka nje
Refa anawaua sanaHawa Azam mbona kama wamelegea sana....
Badilisha tv hiyooMpira ulishatoka wachezaji wa Azam walikuwa wamesimana.
Refa wa mchongo huyu
Na nanii?Azam inahujumiwa sana
Hatarii hao watuuPartnership ya Aucho na Bangala inanikumbusha zama za Xavi na Iniesta[emoji23]
Hapana mpira ulikua bado kwenye line, ni goal la halali kabisampira umerudishwa toka nje
Na refaNa nanii?
Toeni wenge lenu humu, mkitaka mkachezeshe.Mpira ulishatoka wachezaji wa Azam walikuwa wamesimana.
Refa wa mchongo huyu