Wapewe kupiga Wengine....Haiwezekani utengewe mara 30 halafu Zote hakuna kitu.. kisa uliwahi kufunga huko nyuma.
Wamepaki basi kama walivyopaki dhidi ya Simba na kucheza rafu nyingi nyingi.Yani kwa uchezaji huu wa biashara ilitakiwa mpaka saizi yanga aongoze goli 3
Chapili au chakwanza?Dakika 3 za nyongeza kuelekea kutamatika kipindi cha pili
kwani haujui!! mkwanja wa gsm uko kazini!Hawa Biashara Ni kama hawako serious kama ilivyokuwa kwa simba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sahivi hawampigii mishaleMitopolo ... bora Kabwili
Mkuu embu zungumzia basi Yanga walivyoupiga mpira drafti draftiDakika 3 za nyongeza kuelekea kutamatika kipindi cha pili
Acha chuki mkuu, hafungwi mtu hapa😂😂 Yanga piga biashara haoMamaaae zao biashara walitakiwa wawakazie hawa utopolo
Hahahaha nili halotel kubabake lina speed ya kobeUnaangalia na ttcl internet mkuu?
HawanaBiashara wanakocha kweli hawa.
mpira yanga wameucheza sana ila swala la wamaliziaji kule mbele bado ni tatizoMkuu embu zungumzia basi Yanga walivyoupiga mpira drafti drafti
Muloko aliumia siyo na akaingia Farid au hii lineups Ina makosa??Kikosi cha yangaView attachment 2058581
Ukiamua kuwa neutral unaweza,Kafunga bonge la goli, goli tamu kabisa hili acrobatic goaal
Mpira hujui kachambue mchicha, mechi ya biashara na simba, Biashara hakucheza mpira wowote zaidi ya faulo na kupaki basi ili wacheze counter attack. Mechi ya leo hivyo hivyo Biashara wamekuja na mpira wa kasi na counter attack huku wakipaki basi. Ingekuwa Gsm wamewapa maagizo wasingefunga na pia Yanga wasingepata goli kiugumu vile. Mabeki na makipa wa Biashara wamecheza vyema sana mpaka sasa bado ni mechi ngumu sana kwa Yanga hasa Biashara wakipata mipira ni hatari zaidi maana wanaenda kwa kasi ya ajabukwani haujui!! mkwanja wa gsm uko kazini!
Azam gani hawa hawa? labda gharama ya kifurushiIla msimu ujao azam waongeze camera