Yanga agalieni uwezekano wa kumrudisha Youssef Ammar, na kusajiri mshambuliaji mmoja mzuri kijana jahazi linazama

Yanga agalieni uwezekano wa kumrudisha Youssef Ammar, na kusajiri mshambuliaji mmoja mzuri kijana jahazi linazama

Titicomb

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2012
Posts
12,823
Reaction score
21,210
Mimi siyo mtaalamu wa soka wala siyo daktari wa michezo.
Hapa nitaweka mtazamo wangu kwa hisia tu hivyo mkiona nipo sahihi fuateni, mkiona sina hoja puuzeni tu.

Nikiangalia muenendo wa viwango vya wachezaji kiafya na viwango vyao wanaporudi toka majeruhi na kurudia kupata majeraha na utimamu wa mwili kiujumla nahisi kuna tatizo. Bahati mbaya Sina takwimu halisi kulinganisha wakati wa mtaalamu wa viungo na recovery Youssef Ammar na aliyepo sasa.

Huenda tatizo halipo kwa kocha wa viungo bali soka la nguvu na kasi la Gamond siyo la matokeo ya muda mrefu bila kubadili wachezaji (refreshing by signing new players). Au umri wa wachezaji na soka la kasi na nguvu umekuwa tatizo. Hayo hapo juu ukiongeza ratiba ngumu ya mechi mfululizo ni tatizo.

Hapa natoa angalizo sijasema mbinu za kocha Gamond. Naamini yeye bado kocha bora sana. Anachotakiwa kufanya ni kuwa flexible tu kufanya kazi na wachezaji au watu wengine kwenye benchi la ufundi asiowapenda. Kiburi na majivuno sana vita gharimu timu na ajira yake.
Huwezi kumnyima nafasi Kibwana na kumtumia make shift full back Denis Nkane kwenye mechi ambayo walinzi wawili wa kati wa kikosi cha kwanza hawapo. Isingewezekana kumtumia Kibwana sababu hakuwa timamu kwa kukosa muda uwanjani.

Mwisho nimalizie kwa kushauri tu Yanga itafute mchezaji mmoja mpya awe kijana mshabuliaji mzuri. Imbakize Mzinze na yeyote mwingine mmoja kati ya waliopo sasa. Wengine offload mapema.
Niwatakie kazi njema.

Pia soma
SABABU ZA KOCHA WA VIUNGO YANGA KUONDOKA...GAMONDI AHUSISHWA
 
Umefikiri vizuri kwenye hili naona kwa sasa Gamondi aanze kutumia wachezaji wote kutoka kwenye timu sikuona sababu ya kumuacha kibwana na Duke nje juzi na kumuacha Aziz K akidhurura uwanjani tu.
Pamoja na kwamba kibwana hana match fitness lakini kwa ile mechi ya juzi angemudu.
 
Aje kusaidia nini mkuu.
Kubali kataa, hiki kinachosemwasemwa Yanga kuchoma sindano za Kuongeza nguvu kipo. Tafuta zile video utaelewa, Kuna Mengi kwenye soka letu haikuwa nguvu ya wachezaji, haikuwa mbinu za Youssef kufundisha utimamu bali ni SINDANO.

Kwa Kampeni hii ya Ubaya Ubwela jiandaeni Vzuri kujibu tuhuma FIFA mtakuja kuvuliwa mataji yote na kushushwa daraja. Kazi ya Ubaya ubwela imeanza kuleta matunda sasa.
 
Aje kusaidia nini mkuu.
Kubali kataa, hiki kinachosemwasemwa Yanga kuchoma sindano za Kuongeza nguvu kipo. Tafuta zile video utaelewa, Kuna Mengi kwenye soka letu haikuwa nguvu ya wachezaji, haikuwa mbinu za Youssef kufundisha utimamu bali ni SINDANO.

Kwa Kampeni hii ya Ubaya Ubwela jiandaeni Vzuri kujibu tuhuma FIFA mtakuja kuvuliwa mataji yote na kushushwa daraja. Kazi ya Ubaya ubwela imeanza kuleta matunda sasa.
unaongea kishabiki
yanga tangu msimu wa fainali ya shirikisho haijashuka na mpaka sasa yanga haijashuka.....
kufungwa ni sehemu tu ya michezo ya ligi
man city kafa game 2 mfululizo
madridi alikufa game mbili mfululizo
ni jambo la kawaida kwa timu inayofanya vizuri kukamiwa na kufungwa
kila timu ina mapungufu yake,mapungufu ya yanga ni kufungwa kwa counter tangu msimu wa nabi hayo ndo mapungufu yetu
sahv gampndi amepunguza hatufungwi magoli ya vichwa tenah
by the way sisi ni pipo...makolo hasira zetu zinakuja kwetu
maana nyie tumewaoa,
 
Aje kusaidia nini mkuu.
Kubali kataa, hiki kinachosemwasemwa Yanga kuchoma sindano za Kuongeza nguvu kipo. Tafuta zile video utaelewa, Kuna Mengi kwenye soka letu haikuwa nguvu ya wachezaji, haikuwa mbinu za Youssef kufundisha utimamu bali ni SINDANO.

Kwa Kampeni hii ya Ubaya Ubwela jiandaeni Vzuri kujibu tuhuma FIFA mtakuja kuvuliwa mataji yote na kushushwa daraja. Kazi ya Ubaya ubwela imeanza kuleta matunda sasa.
Kwamba walichoma sindano ndani ya Uwanja Mamelod Sundowns kwa kujituma kule?
Tuache vyombo vya uchunguzi vifanye kazi zao.

Video za sindano bila kujua kulikuwa na nini ndani ya zile syringe huwezi kutoa hukumu ilikuwa dawa zinazo katazwa michezoni.
 
unaongea kishabiki
yanga tangu msimu wa fainali ya shirikisho haijashuka na mpaka sasa yanga haijashuka.....
kufungwa ni sehemu tu ya michezo ya ligi
man city kafa game 2 mfululizo
madridi alikufa game mbili mfululizo
ni jambo la kawaida kwa timu inayofanya vizuri kukamiwa na kufungwa
kila timu ina mapungufu yake,mapungufu ya yanga ni kufungwa kwa counter tangu msimu wa nabi hayo ndo mapungufu yetu
sahv gampndi amepunguza hatufungwi magoli ya vichwa tenah
by the way sisi ni pipo...makolo hasira zetu zinakuja kwetu
maana nyie tumewaoa,
Wee mzee Mpili Ongelea sindano.
Sijaongelea kupanda wala kushuka
 
Mimi siyo mtaalamu wa soka wala siyo daktari wa michezo.
Hapa nitaweka mtazamo wangu kwa hisia tu hivyo mkiona nipo sahihi fuateni, mkiona sina hoja puuzeni tu.

Nikiangalia muenendo wa viwango vya wachezaji kiafya na viwango vyao wanaporudi toka majeruhi na kurudia kupata majeraha na utimamu wa mwili kiujumla nahisi kuna tatizo. Bahati mbaya Sina takwimu halisi kulinganisha wakati wa mtaalamu wa viungo na recovery Youssef Ammar na aliyepo sasa.

Huenda tatizo halipo kwa kocha wa viungo bali soka la nguvu na kasi la Gamond siyo la matokeo ya muda mrefu bila kubadili wachezaji (refreshing by signing new players). Au umri wa wachezaji na soka la kasi na nguvu umekuwa tatizo. Hayo hapo juu ukiongeza ratiba ngumu ya mechi mfululizo ni tatizo.

Hapa natoa angalizo sijasema mbinu za kocha Gamond. Naamini yeye bado kocha bora sana. Anachotakiwa kufanya ni kuwa flexible tu kufanya kazi na wachezaji au watu wengine kwenye benchi la ufundi asiowapenda. Kiburi na majivuno sana vita gharimu timu na ajira yake.
Huwezi kumnyima nafasi Kibwana na kumtumia make shift full back Denis Nkane kwenye mechi ambayo walinzi wawili wa kati wa kikosi cha kwanza hawapo. Isingewezekana kumtumia Kibwana sababu hakuwa timamu kwa kukosa muda uwanjani.

Mwisho nimalizie kwa kushauri tu Yanga itafute mchezaji mmoja mpya awe kijana mshabuliaji mzuri. Imbakize Mzinze na yeyote mwingine mmoja kati ya waliopo sasa. Wengine offload mapema.
Niwatakie kazi njema.

Pia soma
SABABU ZA KOCHA WA VIUNGO YANGA KUONDOKA...GAMONDI AHUSISHWA
Kama wanafanya maamuzi ya kutimua kocha, huu ndiyo mda sahihi, hii international break tuitumie kuweka mambo sawa
 
Kama wanafanya maamuzi ya kutimua kocha, huu ndiyo mda sahihi, hii international break tuitumie kuweka mambo sawa
Hapana.
Gamond bado anahitajika sana.
Pia kocha mpya hatofanya vizuri ndani ya muda mfupi kabla ya makundi.
Kabla ya timua timua makocha tukumbuke ya Uchebe, Robertinho, Benchikha na wengine pale Simba.
 
Hapana.
Gamond bado anahitajika sana.
Pia kocha mpya hatofanya vizuri ndani ya muda mfupi kabla ya makundi.
Tukumbuke ya Uchebe, Robertinho, Benchikha na wengine pale Simba.
Sisi tubaki kama mashabiki tu, maamuzi ya viongozi tuyaheshimu, huenda Gamond ana madhaifu makubwa yasiyovumilika, na hili la juzi kufungwa huenda lisiwe sababu kuu!
 
Sisi tubaki kama mashabiki tu, maamuzi ya viongozi tuyaheshimu, huenda Gamond ana madhaifu makubwa yasiyovumilika, na hili la juzi kufungwa huenda lisiwe sababu kuu!
Umenena jambo sahihi.
Tujikumbushe na maamuzi ya Azam kutimua kocha ovyo hasa kati ya msimu.
 
Aje kusaidia nini mkuu.
Kubali kataa, hiki kinachosemwasemwa Yanga kuchoma sindano za Kuongeza nguvu kipo. Tafuta zile video utaelewa, Kuna Mengi kwenye soka letu haikuwa nguvu ya wachezaji, haikuwa mbinu za Youssef kufundisha utimamu bali ni SINDANO.

Kwa Kampeni hii ya Ubaya Ubwela jiandaeni Vzuri kujibu tuhuma FIFA mtakuja kuvuliwa mataji yote na kushushwa daraja. Kazi ya Ubaya ubwela imeanza kuleta matunda sasa.
Mama yako Bora angezaa boga achemshe
 
Gamond areset mfumo. Rudisha Aziz Ki nafasi aliyokuwa anacheza msimu uliopita. Dube na mastraika wengine waanzie benchi.
 
Back
Top Bottom