mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Wakati wale Simba FC wakiingia Robo Fainali kama best loser wa kundi lake, wababe wa nchi ya Tanzania, Young Africans, wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama Mabingwa mara 5 wa Afrika TP Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As Real Bamako.
Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617].
View attachment 2574764
Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617].
View attachment 2574764