Yanga aingia Robo Fainali CAFCC kibabe kwa kuongoza kundi lake

Yanga aingia Robo Fainali CAFCC kibabe kwa kuongoza kundi lake

Wakati wale Zuwena fc wakiingia robo fainali kama best looser wa kundi lake, Wababe wa nchi ya Tanzania Young Africans wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama mabingwa mara 5 wa Afrika Tp Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As real Bamako.

Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Vigogo walioondolewa na vigogo wakaangukia kwenye mashindano ya loosers. Na bd Mazembe akifanya vitu vyake huko Congo na Monastir wakawabamiza Bamako mtaongoza tu kundi? Popoma kweli wewe
 
Vigogo walioondolewa na vigogo wakaangukia kwenye mashindano ya loosers. Na bd Mazembe akifanya vitu vyake huko Congo na Monastir wakawabamiza Bamako mtaongoza tu kundi? Popoma kweli wewe
MASHINDANO NI YA WASHINDWA na washiriki ni wagonjwa hatari tupu
 
HAKUNA TIMU INAYOJIELEWA INAYOSHIRIKI KOMBE LA LOOSER HILI KOMBE ASILIMIA KUBWA WANAOSHIRIKI NI MAZEZETA YALIYOFELI CHAMPIONS LEAGUE.

ALIEWAITA UTOPOLO MBWA AJENGEWE SANAMU PALE KAUNDA.
Ni kweli ninyi mazezeta wakuu manake mpaka kiatu cha gori bora mnacho
 
Vigogo walioondolewa na vigogo wakaangukia kwenye mashindano ya loosers. Na bd Mazembe akifanya vitu vyake huko Congo na Monastir wakawabamiza Bamako mtaongoza tu kundi? Popoma kweli wewe
TP Mazembe ipi unayoiongelea?
Screenshot_20230319-215424_Google.jpg
 
Vigogo walioondolewa na vigogo wakaangukia kwenye mashindano ya loosers. Na bd Mazembe akifanya vitu vyake huko Congo na Monastir wakawabamiza Bamako mtaongoza tu kundi? Popoma kweli wewe
Swali linabaki palepale, Yanga wameingia robo fainali au wanasubili mechi za mwisho!?

Inawezekana wewe hajawahi kuona timu unapewa ushindi kabla ya kumaliza mikwaju ya penalty.

By the way unateseka ukiwa wapi kuona haya mafanikio ya Yanga?
 
Hii Yanga isipodhibitiwa, inaweza kujikuta inachukua makombe yote ya vilabu hapa duniani!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km chiziii Al Hilal aliwaonesha kuwaa CL sio level zenuuu.

Pambaneni na losers wenzenuuuu. Kwa wakubwa hakuwahusu na mlisha furushwaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna watu wameingia kwa mungu nisaidie na watapigwa 15 na Mamelodi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan unaiwazaa simba kuliko utopolooo yakooo, simba yuko CL sio losers,

Huku hakuwahusu Al Hilal Alisha wafurushaaa, kelele zenuu pelekeni kwa level zenuuu.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
HAKUNA TIMU INAYOJIELEWA INAYOSHIRIKI KOMBE LA LOOSER HILI KOMBE ASILIMIA KUBWA WANAOSHIRIKI NI MAZEZETA YALIYOFELI CHAMPIONS LEAGUE.

ALIEWAITA UTOPOLO MBWA AJENGEWE SANAMU PALE KAUNDA.
Uko Kwa waliofaulu ulishawahi shinda nini!?
 
Vigogo walioondolewa na vigogo wakaangukia kwenye mashindano ya loosers. Na bd Mazembe akifanya vitu vyake huko Congo na Monastir wakawabamiza Bamako mtaongoza tu kundi? Popoma kweli wewe
Kumbe inakuuma Yanga kuongoza kundi,ahahaahah
 
Back
Top Bottom