Vigogo walioondolewa na vigogo wakaangukia kwenye mashindano ya loosers. Na bd Mazembe akifanya vitu vyake huko Congo na Monastir wakawabamiza Bamako mtaongoza tu kundi? Popoma kweli weweWakati wale Zuwena fc wakiingia robo fainali kama best looser wa kundi lake, Wababe wa nchi ya Tanzania Young Africans wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama mabingwa mara 5 wa Afrika Tp Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As real Bamako.
Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]