Yanga aingia Robo Fainali CAFCC kibabe kwa kuongoza kundi lake

Yanga aingia Robo Fainali CAFCC kibabe kwa kuongoza kundi lake

Mechi za mwisho zinaweza kumrudisha Monastir kileleni
Kumbe inawauma siye kuwa juu ya mlima Kilimanjaro!¡?
Aahaaaahaajaj
Mazembe tunamla 5bila huku Monastir yeye akishinda Kwa 2 bila halafu wanaume tunakaa kileleni
 
Manara Said( Yanga nzima wenye akili sawa sawa yaani ile kamiri kabisa ambao hata barabarani huna haja ya kuwashika mkono kuwavusha ni wawili 2 tu..
Wengine waliobaki kueni nao makini hata wakiua hawana kesi hao )
 
Manara Saidi Yanga nzima wenye akili sawa sawa yaani ile kamiri kabisa ambao hata barabarani huna haja ya kuwashika mkono kuwavusha ni wawili 2 tu..
Wengine waliobaki kueni nao makini hata wakiua hawana kesi hao
Inakuuuuuumaaaaaaa
 
Sema hii club Ina watu Wana tambo never seen before ,alafu Kwa kuforce ukubwa Sasa[emoji114].
 
Mechi ya mwisho mnacheza na Tp Mazembe, huko labda mshinde tena ushindi wa magoli mengi (jambo ambalo ni gumu)

Monastir wanacheza na Bamako ambapo wakishinda watakuwa on top kwenye group

After that utajiona mjinga kwasababu utahukumiwa na kauli yako mwenyewe
 
Aibu kwa kuongoza kundi lake, aibu kwa kutinga kibabe hatua ya robo fainali, au aibu kwa kushinda uwanja wa Mkapa kwa 100%, na kwenye kila mechi?

Hebu kuwa specific.
Umekosea ulipoidharau Simba kuwa imepita kama best looser kwenye kundi lake huku Yanga ikipita kama kinara wa kundi!
*Unasahau kwamba Yanga alitolewa kwenye hii michuano ambayo Simba anapambana,Inamaana losers ndio wanapambanishwa huko shirikisho ambapo unaisifia Yanga na kuidharau Simba ambayo inapambana na timu Bora zaidi!
*Tp mazembe Kwa Sasa Haina ubora,ni timu mbovu na ya kawaida sana!Simba 2020/2021 alifuzu kwenda robo fainali akiongoza kundi Kwa Pointi 13,kundi lilikuwa na Al Ahyl,El merreikh na AS Vital!Wakati huo Al Ahyl aliyefuzu wa pili alikuwa bingwa mtetezi wa CAFCL!
*Baada ya kuweka sawa hayo hapo juu,Yanga Bado hajafuzu kama kinara wa kundi,mechi ya mwisho ndio itaamua!

Hongereni wananchi Kwa kuweka historia ya kuingia robo fainali kombe shirikisho!Next time muwekeze Nguvu mshindane kwenye CAFCL na mfike robo fainali au zaidi!
 
Kwan mechi zmeisha mkuuu au unaz unAkitesaaaa. Bado mechi moja kumbukaa
 
Tusubiri game ya mwisho
Game ya mwisho ni mechi za hesabu ni lazima ujuwe robo utakutana na nani.

Kwahiyo kuongoza siyo issue, issue ni kuwa na analyst wazuri wa kujuwa mpaka mechi ya robo unakutana na nani na nafasi IPI kwako ni Salama, Wamisri wapo vizuri sana katika hili.
 
Swali linabaki palepale, Yanga wameingia robo fainali au wanasubili mechi za mwisho!?

Inawezekana wewe hajawahi kuona timu unapewa ushindi kabla ya kumaliza mikwaju ya penalty.

By the way unateseka ukiwa wapi kuona haya mafanikio ya Yanga?
Tayar ameshafuzu mechi ya mwisho hata akipoteza kafukuzu tayar

How

Mazembe atakuwa na point 6
While yanga 10
 
Mechi ya mwisho mnacheza na Tp Mazembe, huko labda mshinde tena ushindi wa magoli mengi (jambo ambalo ni gumu)

Monastir wanacheza na Bamako ambapo wakishinda watakuwa on top kwenye group

After that utajiona mjinga kwasababu utahukumiwa na kauli yako mwenyewe
Ugumubkqa yanga mnausemaga nyie toka ligi zinaamza

Hata mwarabu mlisema kufumgwa na yanga haiwezekani

Sisi tunajibu kwa matendo baba
 
Wakati wale Simba FC wakiingia Robo Fainali kama best loser wa kundi lake, wababe wa nchi ya Tanzania, Young Africans, wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama Mabingwa mara 5 wa Afrika TP Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As Real Bamako.

Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617].
Mnacheza Europa na bado mnathubutu kututambia apa
 
Swali linabaki palepale, Yanga wameingia robo fainali au wanasubili mechi za mwisho!?

Inawezekana wewe hajawahi kuona timu unapewa ushindi kabla ya kumaliza mikwaju ya penalty.

By the way unateseka ukiwa wapi kuona haya mafanikio ya Yanga?
Daah,comment nyingine unabaki unacheka tu!
Ni kweli Yanga kafuzu robo fainali,ila hiyo haimaanishi kwamba wanaweza kuamua wasicheze mechi ya mwisho kama ambavyo inakuwa kwenye mikwaju ya penalty!Unajua kwanini mikwaju ya penalty Huwa haimaliziwi iwapo hakuna uwezekano wa kumfikia opponent? Penalty shootouts hazina record yeyote,haziongeze idadi ya magoli,mikwaju ya penalty ni kama kurusha shilingi Ili timu Moja isonge mbele baada ya kutoshana Nguvu!
Mechi za robo fainali haziwezi kupangwa kabla ya mechi za mwisho kupigwa,maana yoyote anaweza kuibuka kinara wa kundi kuelekea robo fainali!
 
Daah,comment nyingine unabaki unacheka tu!
Ni kweli Yanga kafuzu robo fainali,ila hiyo haimaanishi kwamba wanaweza kuamua wasicheze mechi ya mwisho kama ambavyo inakuwa kwenye mikwaju ya penalty!Unajua kwanini mikwaju ya penalty Huwa haimaliziwi iwapo hakuna uwezekano wa kumfikia opponent? Penalty shootouts hazina record yeyote,haziongeze idadi ya magoli,mikwaju ya penalty ni kama kurusha shilingi Ili timu Moja isonge mbele baada ya kutoshana Nguvu!
Mechi za robo fainali haziwezi kupangwa kabla ya mechi za mwisho kupigwa,maana yoyote anaweza kuibuka kinara wa kundi kuelekea robo fainali!
Unajichosha kuwaelewesha ! Hawana walijualo kuhusu football.
 
Back
Top Bottom