mwarabu feki
JF-Expert Member
- Feb 16, 2023
- 811
- 1,811
Hasira za kazi GaniHAKUNA TIMU INAYOJIELEWA INAYOSHIRIKI KOMBE LA LOOSER HILI KOMBE ASILIMIA KUBWA WANAOSHIRIKI NA MAZEZETA YALIYOFELI CHAMPIONS LEAGUE.
ALIEWAITA UTOPOLO MBWA AJENGEWE SANAMU PALE KAUNDA.
Hatari, sio kuifunga timu ya magolikipa wa Reserve ukiagiza shuti mbali imooo..Wakati wale Zuwena fc wakiingia robo fainali kama best looser wa kundi lake, Wababe wa nchi ya Tanzania Young Africans wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama mabingwa mara 5 wa Afrika Tp Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As real Bamako.
Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Kombe lenyewe ni la malooser.Wakati wale Zuwena fc wakiingia robo fainali kama best looser wa kundi lake, Wababe wa nchi ya Tanzania Young Africans wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama mabingwa mara 5 wa Afrika Tp Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As real Bamako.
Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Hakuna jipya hapo...Wakati wale Zuwena fc wakiingia robo fainali kama best looser wa kundi lake, Wababe wa nchi ya Tanzania Young Africans wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama mabingwa mara 5 wa Afrika Tp Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As real Bamako.
Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Hajaingia kwa kuongoza kundi. Kila timu mechi moja ya mwisho itakayoamua kati ya Yanga na US Monastir ni timu gani itaongoza kundi.Wakati wale Zuwena fc wakiingia robo fainali kama best looser wa kundi lake, Wababe wa nchi ya Tanzania Young Africans wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama mabingwa mara 5 wa Afrika Tp Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As real Bamako.
Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
Hilo la looser mkaroga South AfricaKombe lenyewe ni la malooser.
Hajui mwenzioBado mechi moja
Atakuwa bado haamini kilichotokea.Hasira za kazi Gani
Aibu kwa kuongoza kundi lake, aibu kwa kutinga kibabe hatua ya robo fainali, au aibu kwa kushinda uwanja wa Mkapa kwa 100%, na kwenye kila mechi?Wana m Yanga wenzako wanaona aibu Kwa Uzi huu!
Kwani yeye amesema mechi zimeisha? Yeye kasema ameingia robo Kwa kuongoza kundi km hivi[emoji116]Sasa ameongozaje kundi wakati bado mechi hazijaisha.
Kiongozi wa kundi huwa anapatikana baada ya mechi kukamilika.Kwani yeye amesema mechi zimeisha? Yeye kasema ameingia robo Kwa kuongoza kundi km hivi[emoji116]View attachment 2558504
Acheni sifa hili ni kombe la vibonde Looser walioshindwa kwa wakubwa CafclHii Yanga isipodhibitiwa, inaweza kujikuta inachukua makombe yote ya vilabu hapa duniani!!