Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Kumbe inawauma siye kuwa juu ya mlima Kilimanjaro!¡?Mechi za mwisho zinaweza kumrudisha Monastir kileleni
Hapana. Mleta mada ameongea as if mechi za mwisho haziwezi kubadili msimamo. Mambo yenu wala hayanisumbui, trust me.Kumbe inawauma siye kuwa juu ya mlima Kilimanjaro!¡?
Aahaaaahaajaj
InakuuuuuumaaaaaaaManara Saidi Yanga nzima wenye akili sawa sawa yaani ile kamiri kabisa ambao hata barabarani huna haja ya kuwashika mkono kuwavusha ni wawili 2 tu..
Wengine waliobaki kueni nao makini hata wakiua hawana kesi hao
Zitabadili nini,kwahiyo unaamini tunaenda kufungwa na Mazembe!?Hapana. Mleta mada ameongea as if mechi za mwisho haziwezi kubadili msimamo. Mambo yenu wala hayanisumbui, trust me.
Na hakibadiliki kituHapana. Mleta mada ameongea as if mechi za mwisho haziwezi kubadili msimamo. Mambo yenu wala hayanisumbui, trust me.
Mbona mwaka jana mlishiriki na kulishobokea?HAKUNA TIMU INAYOJIELEWA INAYOSHIRIKI KOMBE LA LOOSER HILI KOMBE ASILIMIA KUBWA WANAOSHIRIKI NI MAZEZETA YALIYOFELI CHAMPIONS LEAGUE.
ALIEWAITA UTOPOLO MBWA AJENGEWE SANAMU PALE KAUNDA.
SawaaaNa hakibadiliki kitu
AahahaaajSema hii club Ina watu Wana tambo never seen before ,alafu Kwa kuforce ukubwa Sasa[emoji114].
Umekosea ulipoidharau Simba kuwa imepita kama best looser kwenye kundi lake huku Yanga ikipita kama kinara wa kundi!Aibu kwa kuongoza kundi lake, aibu kwa kutinga kibabe hatua ya robo fainali, au aibu kwa kushinda uwanja wa Mkapa kwa 100%, na kwenye kila mechi?
Hebu kuwa specific.
Game ya mwisho ni mechi za hesabu ni lazima ujuwe robo utakutana na nani.Tusubiri game ya mwisho
Tayar ameshafuzu mechi ya mwisho hata akipoteza kafukuzu tayarSwali linabaki palepale, Yanga wameingia robo fainali au wanasubili mechi za mwisho!?
Inawezekana wewe hajawahi kuona timu unapewa ushindi kabla ya kumaliza mikwaju ya penalty.
By the way unateseka ukiwa wapi kuona haya mafanikio ya Yanga?
Kama.atashinda gori nyingiMechi za mwisho zinaweza kumrudisha Monastir kileleni
Ugumubkqa yanga mnausemaga nyie toka ligi zinaamzaMechi ya mwisho mnacheza na Tp Mazembe, huko labda mshinde tena ushindi wa magoli mengi (jambo ambalo ni gumu)
Monastir wanacheza na Bamako ambapo wakishinda watakuwa on top kwenye group
After that utajiona mjinga kwasababu utahukumiwa na kauli yako mwenyewe
Mnacheza Europa na bado mnathubutu kututambia apaWakati wale Simba FC wakiingia Robo Fainali kama best loser wa kundi lake, wababe wa nchi ya Tanzania, Young Africans, wao wameingia kibabe baada ya kuongoza kundi lililosheheni timu vigogo Afrika kama Mabingwa mara 5 wa Afrika TP Mazembe, mabingwa wa Tunisia Monastir, mabingwa wa Mali nchi kubwa ya soka barani As Real Bamako.
Yanga inaenda kuleta kombe nchini[emoji1241][emoji1241] [emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617].
Daah,comment nyingine unabaki unacheka tu!Swali linabaki palepale, Yanga wameingia robo fainali au wanasubili mechi za mwisho!?
Inawezekana wewe hajawahi kuona timu unapewa ushindi kabla ya kumaliza mikwaju ya penalty.
By the way unateseka ukiwa wapi kuona haya mafanikio ya Yanga?
Unajichosha kuwaelewesha ! Hawana walijualo kuhusu football.Daah,comment nyingine unabaki unacheka tu!
Ni kweli Yanga kafuzu robo fainali,ila hiyo haimaanishi kwamba wanaweza kuamua wasicheze mechi ya mwisho kama ambavyo inakuwa kwenye mikwaju ya penalty!Unajua kwanini mikwaju ya penalty Huwa haimaliziwi iwapo hakuna uwezekano wa kumfikia opponent? Penalty shootouts hazina record yeyote,haziongeze idadi ya magoli,mikwaju ya penalty ni kama kurusha shilingi Ili timu Moja isonge mbele baada ya kutoshana Nguvu!
Mechi za robo fainali haziwezi kupangwa kabla ya mechi za mwisho kupigwa,maana yoyote anaweza kuibuka kinara wa kundi kuelekea robo fainali!