Yanga akifanikiwa kuitoa Al Hilal, hizi ndiyo zitakuwa hoja za mashabiki wa Simba

Yanga akifanikiwa kuitoa Al Hilal, hizi ndiyo zitakuwa hoja za mashabiki wa Simba

Katika soka, lolote linaweza kutokea na haitokuwa mara ya kwanza kwa timu isiyopewa nafasi au iliyoko ugenini kufanya maajabu na kuacha gumzo pamoja na kuandika historia.

Kwa msingi huo, Yanga wanaobezwa na mashabiki wa Makolo FC wakifanikiwa kuitoa Al Hilal, wenzetu hawa watakuja na hoja hizi :

1. Yanga wamebahatisha.
2. Al Hilal hii siyo ile iliyocheza na Simba.
3. Simba wangewafunga mengi
4. Yanga hawawezi kufika mbali.
5. Tunawasubiri tarehe 23.
6. Al Hilal uzembe wao.


Ongeza nyingine.
Ndiyo tayari mmemaliza kuwatoa kwa maneno, hii ndiyo kazi peke wanayoweza washabiki na wanachama wa Yanga, maneno mengii utafikiri walikaa kikao wakakubaliana, utekelezaji sasa zero.
 
Haya mapooza ya Utopolo yamechanganyikiwa
 
Utopolo hawana akili.

Yani yanga Wenye akili ni wawili tu. Mzee KIKWETE na Mzee Manara tuuuu.

Haji Manara. Msemaji wa yanga.
 
Kwa kifupi hamuwezi kushinda sudan,kama mmeshindwa kutumia nafasi kibao hapo kwa mkapa then mnadanganyana mtashinda ugenini??
 
Unapoelekea sio kuzuri, hii presha uliyonayo bora jumapili ifike mapema kuokoa afya yako
 
Back
Top Bottom