baba aura
JF-Expert Member
- Aug 5, 2023
- 254
- 393
Mabingwa watetezi na wataalamu wa kutandaza soka safi, soka burudani nk watakuwepo uwanjani leo kupigania point 3 muhimu dhidi ya Azam wanalambalamba.
Bila kupapasa nasema leo Azam anafungwa za kutosha na iwapo Yanga ikifungwa basi nipigwe Ban.
Mwanambarali.
Bila kupapasa nasema leo Azam anafungwa za kutosha na iwapo Yanga ikifungwa basi nipigwe Ban.
Mwanambarali.