Yanga akiingia robo fainali tena kile kichaka cha rank kinakuwa kimefyekwa rasmi!

Yanga akiingia robo fainali tena kile kichaka cha rank kinakuwa kimefyekwa rasmi!

Makavuli

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2024
Posts
1,425
Reaction score
1,829
Yanga anazo point 31 kwenye rank za CAF, Simba anazo point 39, tofauti yake ni alama 8

Yanga akiingia makundi anaongeza alama 2×5=10, ukijumlisha na 31 walizonazo wanafikisha 41, hapo ni kama ataishia makundi!

Simba anazo alama 39, akiingia makundi anaongeza alama 1×5=5, ukijumlisha na alama zake 39 walizonazo wanafikisha 44, hapo ni endapo ataingia makundi!

Alama hapo zinakuwa zimebaki tofauti ya alama 3!

Sasa yanga akiingia robo fainali hadithi inageuka na chaka linafyekwa rasmi maana atafikisha alama 56 na Simba kama ataingia robo fainali atafikisha alama 54!

Hivyo basi Simba ajipapatutue aingie makundi ili angalau aongeza hizo alama 5 kama anataka kuendelea kuwa eneo salama kwenye rank tofauti na hapo ataondoshwa kwenye hiyo nafasi asubuhi na mapema kabla jogoo hajawika!
 
Yanga anazo point 31 kwenye rank za caf, Simba anazo point 39, tofauti yake ni alama 8,
Yanga akiingia makundi anaongeza alama 2×5=10, ukijumlisha na 31 walizonazo wanafikisha 41, hapo ni kama ataishia makundi!
Simba anazo alama 39, akiingia makundi anaongeza alama 1×5=5, ukijumlisha na alama zake 39 walizonazo wanafikisha 44, hapo ni endapo ataingia makundi!
Alama hapo zinakuwa zimebaki tofauti ya alama 3!
Sasa yanga akiingia robo fainali hadithi inageuka na chaka linafyekwa rasmi maana atafikisha alama 56 na Simba kama ataingia robo fainali atafikisha alama 54!
Hivyo basi Simba ajipapatutue aingie makundi ili angalau aongeza izo alama 5 kama anataka kuendelea kuwa eneo salama kwenye rank tofauti na hapo ataondoshwa kwenye iyo nafasi asubuhi na mapema kabla jogoo ajawika!
Mkuu hesabu zako hazijakaa sawa zirekebishe kidogo, zile point za msimu uliopita zinapungua hazibaki vile vile.

Yanga alipata point 3 msimu uliopita zikazidishwa na 5 ( msimu wa 5) unapata point 15 ila kwa msimu huu hizo point 3 zitazidishwa kwa 4 ( msimu wa 4) kwahiyo inakuwa point 12

Mpaka sasa (ukiachana na matokeo ya msimu huu yatakavyokuwa) Simba ina point 28 na Yanga ina point 24.

Kama Yanga ikiingia hatua ya makundi na ikashika nafasi ya tatu kwenye kundi watakuwa na point 34
Na ikifuzu robo fainali itakuwa na point 39

Simba ikishika nafasi ya tatu kwenye kundi kama ikifuzu makundi watakuwa na point 33
Na endapo ikifuzu robo fainali itakuwa na point 38
 
Mkuu hesabu zako hazijakaa sawa zirekebishe kidogo, zile point za msimu uliopita zinapungua hazibaki vile vile.

Yanga alipata point 3 msimu uliopita zikazidishwa na 5 ( msimu wa 5) unapata point 15 ila kwa msimu huu hizo point 4 zitazidishwa kwa 4 ( msimu wa 4) kwahiyo inakuwa point 12

Mpaka sasa, ukiacha matokeo ya msimu huu kuwa yatakuaje:
Simba ina point 28
Yanga ina point 24

Kama Yanga ikiingia hatua ya makundi na ikashika nafasi ya tatu kwenye kundi watakuwa na point 34
Na ikifuzu robo fainali itakuwa na point 39

Simba ikishika nafasi ya tatu kwenye kundi kama ikifuzu makundi watakuwa na point 33
Na endapo ikifuzu robo fainali itakuwa na point 38
Hii ilimu wengi haeaijui fungua uzi utoe darsa kwa wengi
 
Kweli wanasema usimuamshe aliyelala. Yaani uto walikuwa hawawazi kabisa habari za ranking, leo hii wanapiga mahesabu kama kilimo cha matikiti.
Ndo hesabu zilivyo na kwa aina ya timu yenu ata iyo makundi inaweza kushindwa kuingia, robo ndo kabisa amuwezi kunusa pua zenu kwenye kikombe cha wakina mama alichosema Kaduguda!
 
Sio kwamba ilikuwa inauma bali umbumbumbu wenu mlikuwa mkiguswa kidogo mnakimbilia hoja ya rank kuwa nafasi ya 7 sasa mnashushwa kibabe mtake mtashuka mistake mtashuka tu, tuone mtabaki na nini!
Msemaji wenu msimu uliopita alikuwa na tambo hizi hizi. Tena yeye alikuwa anasema mnaenda kuwa namba Moja Africa kwa kuifunga tu Al Ahly, mpaka leo hata top 10 tu mnaisikia.
 
Ndo hesabu zilivyo na kwa aina ya timu yenu ata iyo makundi inaweza kushindwa kuingia, robo ndo kabisa amuwezi kunusa pua zenu kwenye kikombe cha wakina mama alichosema Kaduguda!
Tuchukue lipi, "aina ya timu yetu" au ni kwamba ni "kikombe cha kina mama"?

Mnapiga mahesabu yenu kwa kuiwazia Simba ambaye hata hamko katika mashindano sawa, mnasahau kwamba mko kwenye ushindani na Raja, Pyramids, Al Hilal hizi zote zina point chini yenu ila zipo CAFCL na mnaweza kukutana nao. Hapo sijataja timu zote ambazo zipo juu yenu ambazo nazo zinaendelea kukusanya point. Mnadanganyana utadhani wengine wooote wataacha kucheza, ni nyie tu mtaendelea kukusanya points.
 
Msemaji wenu msimu uliopita alikuwa na tambo hizi hizi. Tena yeye alikuwa anasema mnaenda kuwa namba Moja Africa kwa kuifunga tu Al Ahly, mpaka leo hata top 10 tu mnaisikia.
Wewe tulia subilia maumivu makali yanayokuja, ata nguvu za kuongea utozipata, hapo sio suala la tambo Tena ni suala la uhalisia maana hesabu aziongopi!
 
Wewe tulia subilia maumivu makali yanayokuja, ata nguvu za kuongea utozipata, hapo sio suala la tambo Tena ni suala la uhalisia maana hesabu aziongopi!
Mnapiga mahesabu yenu kwa kuiwazia Simba ambaye hata hamko katika mashindano sawa, mnasahau kwamba mko kwenye ushindani na Raja, Pyramids, Al Hilal hizi zote zina point chini yenu ila zipo CAFCL na mnaweza kukutana nao. Hapo sijataja timu zote ambazo zipo juu yenu ambazo nazo zinaendelea kukusanya point. Mnadanganyana utadhani wengine wooote wataacha kucheza, ni nyie tu mtaendelea kukusanya points. Na hapo mnadhani mtaendelea kukutana na Vital'O na CBE. Bandiko limejaa nadharia kuliko uhalisia.
 
Mkuu hesabu zako hazijakaa sawa zirekebishe kidogo, zile point za msimu uliopita zinapungua hazibaki vile vile.

Yanga alipata point 3 msimu uliopita zikazidishwa na 5 ( msimu wa 5) unapata point 15 ila kwa msimu huu hizo point 4 zitazidishwa kwa 4 ( msimu wa 4) kwahiyo inakuwa point 12

Mpaka sasa, ukiacha matokeo ya msimu huu kuwa yatakuaje:
Simba ina point 28
Yanga ina point 24

Kama Yanga ikiingia hatua ya makundi na ikashika nafasi ya tatu kwenye kundi watakuwa na point 34
Na ikifuzu robo fainali itakuwa na point 39

Simba ikishika nafasi ya tatu kwenye kundi kama ikifuzu makundi watakuwa na point 33
Na endapo ikifuzu robo fainali itakuwa na point 38

Mkuu hesabu zako hazijakaa sawa zirekebishe kidogo, zile point za msimu uliopita zinapungua hazibaki vile vile.

Yanga alipata point 3 msimu uliopita zikazidishwa na 5 ( msimu wa 5) unapata point 15 ila kwa msimu huu hizo point 4 zitazidishwa kwa 4 ( msimu wa 4) kwahiyo inakuwa point 12

Mpaka sasa, ukiacha matokeo ya msimu huu kuwa yatakuaje:
Simba ina point 28
Yanga ina point 24

Kama Yanga ikiingia hatua ya makundi na ikashika nafasi ya tatu kwenye kundi watakuwa na point 34
Na ikifuzu robo fainali itakuwa na point 39

Simba ikishika nafasi ya tatu kwenye kundi kama ikifuzu makundi watakuwa na point 33
Na endapo ikifuzu robo fainali itakuwa na point 38
Bado kidole cha kati wananing'inianacho tu.
 
Mnapiga mahesabu yenu kwa kuiwazia Simba ambaye hata hamko katika mashindano sawa, mnasahau kwamba mko kwenye ushindani na Raja, Pyramids, Al Hilal hizi zote zina point chini yenu ila zipo CAFCL na mnaweza kukutana nao. Hapo sijataja timu zote ambazo zipo juu yenu ambazo nazo zinaendelea kukusanya point. Mnadanganyana utadhani wengine wooote wataacha kucheza, ni nyie tu mtaendelea kukusanya points. Na hapo mnadhani mtaendelea kukutana na Vital'O na CBE. Bandiko limejaa nadharia kuliko uhalisia.
Dhumuni hapa ni kama Simba atakuwa wa 40 basi yanga awe wa 39 hao kina raja na pyramid ACHA wawe wakwanza TU
 
Dhumuni hapa ni kama Simba atakuwa wa 40 basi yanga awe wa 39 hao kina raja na pyramid ACHA wawe wakwanza TU
Bado hiyo ni nadharia maana bandiko limeishia robo fainali na limefumbia mengi yanayoweka kutokea hapo kati. Hizi ndiyo hesabu za TUKI na WAKI. Kama mtu unaweza kufanya hesabu hizi kwa timu karibia 15 na mechi zaidi ya 40, tandika mkeka weekend hii ule bilioni.
 
Mnapiga mahesabu yenu kwa kuiwazia Simba ambaye hata hamko katika mashindano sawa, mnasahau kwamba mko kwenye ushindani na Raja, Pyramids, Al Hilal hizi zote zina point chini yenu ila zipo CAFCL na mnaweza kukutana nao. Hapo sijataja timu zote ambazo zipo juu yenu ambazo nazo zinaendelea kukusanya point. Mnadanganyana utadhani wengine wooote wataacha kucheza, ni nyie tu mtaendelea kukusanya points. Na hapo mnadhani mtaendelea kukutana na Vital'O na CBE. Bandiko limejaa nadharia kuliko uhalisia.
Kwaiyo izo timu ulizozitaja ata zikikutana na yanga hii unadhani ni nini kitatokea labda kwa akili zako? Na unaposema zilizopo chini yetu bado Kuna zilizokuwepo juu yetu pia na azipo kwa sasa CAFCL msimu huu kwa maana iyo utetezi wako auna mantiki, Simba tunaanza nayo kwakuwa ndio mpinzani wetu wa kwanza mwenye mdomo mrefu, tutaanza nae alafu watafuata wengine,,Na wengine wakiongeza alama ndio watazidi kuisukuma Simba nyuma zaidi kwakuwa point za shirikisho ni tofauti na point za klabu bingwa ivyo itaendelea kula kwenu mpaka akili ziwakae sawa!
 
Dhumuni hapa ni kama Simba atakuwa wa 40 basi yanga awe wa 39 hao kina raja na pyramid ACHA wawe wakwanza TU
No way kwa sasa mambo yanavyoenda na current performance ya timu zote mbili, Yanga atamshusha Simba atake asitake, kwa maana wakiingia wote makundi na wakashika nafasi za 3 kwenye makundi yao bado yanga atakuwa kamzidi Simba alama Moja zaidi, ambapo yanga atakuwa na 34, Simba 33!
 
Yanga anazo point 31 kwenye rank za caf, Simba anazo point 39, tofauti yake ni alama 8,
Yanga akiingia makundi anaongeza alama 2×5=10, ukijumlisha na 31 walizonazo wanafikisha 41, hapo ni kama ataishia makundi!
Simba anazo alama 39, akiingia makundi anaongeza alama 1×5=5, ukijumlisha na alama zake 39 walizonazo wanafikisha 44, hapo ni endapo ataingia makundi!
Alama hapo zinakuwa zimebaki tofauti ya alama 3!
Sasa yanga akiingia robo fainali hadithi inageuka na chaka linafyekwa rasmi maana atafikisha alama 56 na Simba kama ataingia robo fainali atafikisha alama 54!
Hivyo basi Simba ajipapatutue aingie makundi ili angalau aongeza izo alama 5 kama anataka kuendelea kuwa eneo salama kwenye rank tofauti na hapo ataondoshwa kwenye iyo nafasi asubuhi na mapema kabla jogoo ajawika!
Hesabu yako haiko kamili; unapojumlisha point mpya, unaondoa point za zamani za miaka mitano iliyopita. Kwa vile point za simba ni za miaka mitano wakati za Yanga ni za miaka mitatu, Yanga atazidi kuongeza point wakati simba atapungukiwa na point kama moja au mbili hivi.
 
Back
Top Bottom