Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,085
- 9,022
Kwa jinsi hawa Belouzdad ninavyowajua , na kiwango walichokuwanacho sasa hivi, Yanga anakufa sio chini ya goli tatu. Tukutane baada ya mechi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanacheza vizuri ila sio wazuri kama mnavyowasifia maana hayo ni makoloni ya Mamelodi washawahi kula gongo 5 hao...na kila msimu wanakutana nao robo angalia matokeo yake...Juzi nimeona wameshinda goli moja home sio wabaya wataleta ushindani ila lolote linaweza kutokea hata wao kufungwa pia...Kwa jinsi hawa Belouzdad ninavyowajua , na kiwango walichokuwanacho sasa hivi, Yanga anakufa sio chini ya goli tatu. Tukutane baada ya mechi
Huyo ni mwananchi mwenzako, usisahau hilo...kaona ajihami mapema.Weka ahadi kubwa
Sema Yanga akishinda tukupulia mgongoni
Kipi kimekuaminisha kuwa huyo ni Yanga?Huyo ni mwananchi mwenzako, usisahau hilo...kaona ajihami mapema.
mambo za kukimbiahumu kwa kiisingizio cha BAN wakati kesho Asec anawapasua 3-1 hatutaki...tunataka mbaki humu humu tuwanange umbwa nyie.Kwa jinsi hawa Belouzdad ninavyowajua , na kiwango walichokuwanacho sasa hivi, Yanga anakufa sio chini ya goli tatu. Tukutane baada ya mechi
Tusikimbiane baadae.Kwa jinsi hawa Belouzdad ninavyowajua , na kiwango walichokuwanacho sasa hivi, Yanga anakufa sio chini ya goli tatu. Tukutane baada ya mechi
🤣Weka ahadi kubwa
Sema Yanga akishinda tukupulia mgongoni
Laki Si Pesa ni gongowazi lia lia huyo mkuumambo za kukimbiahumu kwa kiisingizio cha BAN wakati kesho Asec anawapasua 3-1 hatutaki...tunataka mbaki humu humu tuwanange umbwa nyie.
Nakazia.Haya maneno hayafanyi kazi juu ya Yanga siku hizi, kila anayekuja mbele yetu ni saizi yetu na atapata stahiki yake kwa kiwango chake.
Dhaifu zao goli 5, wakiwa wazuri karibu kutufikia ndio inakuwa kwa taabu sana goli 2.