Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Wanatumia propaganda za kishamba kutoa mchezoniYanga wafocus tu na mambo yao. Mbumbumbu sio wakuwazingatia sana maana toka wapigwe kipigo cha nne mfululizo ni kama wamepagawa vile.
Hizi ni miongoni mwa tuhuma walizokuja nazo baada ya kile kipigo.
1. Bahasha
2. Uchawi
3. Wanajidunga
4. Mawaziri wanaingilia mambo ya mpira.
Huku ni zaidi ya kupagawa, haijulikani kipi ni kipi. Imagine wamekamata ushahidi Yanga wanatumia madawa lakini hawataki kuupeleka kwenye mamlaka husika kama sio kupagawa ni nini?
Mechi mbili tuu mmeshahama na uwanja, siku mkifungwa mechi za nje ya Dar si mtagoma kusafiri kabisa.Binafsi najua hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi kwenye mechi za ligi pamoja na ile ya Club Bingwa dhidi ya Al hilal ya Sudan.
Swali: Kwakuwa hawa mabwana huwa hawakosi sababu, safari hii tutarajie kusikia nini kutoka kwao?
Je, wataendelea kusema GSM ananunua marefa?
GSM ananunua marefa wa CUF?
Yanga anacheza na timu ambayo nchini kwao kuna vita?
Waliokula 5, kwao kuna vita?
Nasubiri kusikia kutoka kwao maana najua tu watakuja na santuri mpta kama tulivyoona kwa misimu hii mitatu iliyopita.
Yule jamaa aliyewaita mbumbumbu wale viumbe, hakika aliwaza mbali sana. Wale viumbe hawana tofauti na ndege
Chikolaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.!!!Binafsi najua hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi kwenye mechi za ligi pamoja na ile ya Club Bingwa dhidi ya Al hilal ya Sudan.
Swali: Kwakuwa hawa mabwana huwa hawakosi sababu, safari hii tutarajie kusikia nini kutoka kwao?
Je, wataendelea kusema GSM ananunua marefa?
GSM ananunua marefa wa CUF?
Yanga anacheza na timu ambayo nchini kwao kuna vita?
Waliokula 5, kwao kuna vita?
Nasubiri kusikia kutoka kwao maana najua tu watakuja na santuri mpta kama tulivyoona kwa misimu hii mitatu iliyopita.
Chikolaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..!!!Wanatumia propaganda za kishamba kutoa mchezoni
Chikolaaaaaaaaaaaaaaaa..!!!Cha msingi wasisikilizwe kabisa team iendelee ku focus kwenye michezo yake na ishinde mechi 10 mfululizo ili kuwachanganya zaidi
SawaChikolaaaaaaaaaaaaaaaa..!!!
Yanga anatolewa bikra kwa mara ya pili mfululizo.
Huna timu ya kushinda mechi 10 mfululizo wewe.
Kwahiyo sio majini tena au GSM kununua waamuzi?!!!Cha muhimu waache kujidunga. Wacheze Mpira WA kiwango Chao. CAF hawawezi kuwaachia hao sio TFF.
Binafsi najua hiki ndio kinakwenda kutokea siku si nyingi kwenye mechi za ligi pamoja na ile ya Club Bingwa dhidi ya Al hilal ya Sudan.
Swali: Kwakuwa hawa mabwana huwa hawakosi sababu, safari hii tutarajie kusikia nini kutoka kwao?
Je, wataendelea kusema GSM ananunua marefa?
GSM ananunua marefa wa CUF?
Yanga anacheza na timu ambayo nchini kwao kuna vita?
Waliokula 5, kwao kuna vita?
Nasubiri kusikia kutoka kwao maana najua tu watakuja na santuri mpya kama tulivyoona kwa misimu hii mitatu iliyopita.
Yaani kama ile kashfa ya mawaziri kuwasaidia yanga na wazee walisema wana ushahidi itawasaidia takukuru kitendo cha wao kukaa kimya inadhihirisha ni kweli wanahusika.Yanga wafocus tu na mambo yao. Mbumbumbu sio wakuwazingatia sana maana toka wapigwe kipigo cha nne mfululizo ni kama wamepagawa vile.
Hizi ni miongoni mwa tuhuma walizokuja nazo baada ya kile kipigo.
1. Bahasha
2. Uchawi
3. Wanajidunga
4. Mawaziri wanaingilia mambo ya mpira.
Huku ni zaidi ya kupagawa, haijulikani kipi ni kipi. Imagine wamekamata ushahidi Yanga wanatumia madawa lakini hawataki kuupeleka kwenye mamlaka husika kama sio kupagawa ni nini?