Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na moderator aliyepo, kama moderator ni Simba atamkaushia tu, mm nlishapigwa ban kwa kusema kama hv kuhusu Arsenal.Mmeanza na mambo za ban sema Melo naye anawachekea tu angekuwa anawapa ban kama mnavyotaka
Basi inategemea juzi kati Melo alimpa mtu ban hivi hivi baada ya nusu saa akamtolea akamwambia ilikuwa utani wa mpira tuInategemea na moderator aliyepo, kama moderator ni Simba atamkaushia tu, mm nlishapigwa ban kwa kusema kama hv kuhusu Arsenal.
Nani huyo, mm nilipigwa ban kama nilivyosema wiki nzima na nikapigwa wiki kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Basi inategemea juzi kati Melo alimpa mtu ban hivi hivi baada ya nusu saa akamtolea akamwambia ilikuwa utani wa mpira tu
Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
What is so special about you!! Hata ungepigwa Ban ya maisha! Una msaada/umuhimu gani humu jamii forums?Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua
@Half american hivi ile ban uliyoomba ile siku uliomba ya mda gani Melo akakupa nusu saa tu kukuonea huruma akasema mambo ya utani wa mpiraNani huyo, mm nilipigwa kama nilivyosema wiki nzima na nikapigwa wiki kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ilikua ya miezi 6@Half american hivi ile ban uliyoomba ile siku uliomba ya mda gani Melo akakupa nusu saa tu kukuonea huruma akasema mambo ya utani wa mpira
@The best 007Ilikua ya miezi 6
Yanga akipoteza mchezo wa leo naomba nipigwe Ban kwa miezi 6
Nitalitekeleza hili kwa kuwa nje ya jf kwa kipindi husika(tajwa) kama mods watashindwa kutekeleza nilichoahidi. JamiiForums Moderator Wale wa ahadi zitakazotekelezeka tukutane hapa. kila la heri wananchi 💚💛www.jamiiforums.com
The best 007@The best 007
Sitokaa nirudie huo ujinga 😂😂@The best 007
Rudia tu mchezo mzuri sana huoSitokaa nirudie huo ujinga [emoji23][emoji23]
😂 Ban mbayaRudia tu mchezo mzuri sana huo
Mmekalia ushirikina tu, ndio maana timu yenu haizidi robo fainali. Kama mpira ni uchawi, vipi mbona nyie wachawi maarufu mara kuwasha Moto, mara gari kurudi kinyumenyume kilometa 30 mbona hamchukui makombe?.Uchawi wenu huwa mnafanya huku mafia kisiwa cha juani na gem ya mwisho aliwasaidia mganga toka msumbiji huku mafia na kuanzia jana mmeanza tena kuja mimi ikiwa mzaliwa wa mafia naapa kwamba safari hii nishatibu mipango na naendelea kutibua