Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Sasa tumesema, timu ipo kwenye mgomoBado hamjasema mbona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa tumesema, timu ipo kwenye mgomoBado hamjasema mbona
Hamna kitu alichoeleza hapo. Akakimbize Ringi tuHuku akipepesuka,aliendelea kujifariji kuna kipigo cha 5,sijui 6. Unasahau ulitanguliwa kugongwa 6 na YANGA. Au unajichomoa fiuz dada?
Hakuna cha mgomo Wala nini, Simba ni mbovu na Leo imekandwa ikakandika full stop!! Mkubali tu yaishe! Mkiendelea kubisha mechi ijayo ya derby ni yetu tutawapiga wiki (7-0).
Yaaani hapo baaadooooSasa tumesema, timu ipo kwenye mgomo
Hakuiona, alienda uwaniMbona hujachambua ile Penalty ya Kapombe kumdaka Mudathir?
Kapombe pale alizidiwa akavuta miguu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] ilikua tulale 6 leoMbona hujachambua ile Penalty ya Kapombe kumdaka Mudathir?
Na badoooo tutasema tu kwenye pressYaaani hapo baaadoooo
Hatari sanaNa badoooo tutasema tu kwenye press
Wewe uwahi dodoma ukafungue failiNilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina bocco, hussein, chama, kapombe na ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
AahaahaaaKale ka max mlikapataje watani maana ni kanoma kachawi kale kajamaa kanachomekea ndumba sio smart boi
Waache tu waendeleze sababu, siku wakishtuka timu yao haieleweki muda utakuwa umeenda watakula jeuri Yao.Ukisikia kuchanganyikiwa ndio huku, kweli aliyetoa msemo wa "MPAKA USEME" kwenye hii derby aliwaza mbali. Kila mtu anakuja na nyuzi za kutapa tapa mwingine ana dai kuwa kuna usaliti, wewe nawe unekuja na magoli sio halali. Hakuna anayetaka kukubali kuzidiwa, tufanye hizo sababu zote ni sahihi hivyo tumalize mjadala Simba ni timu bora iliyokamilika Yanga wamepata magoli kwa msada wa wasaliti na waamuzi. Mficha maradhi...........
Yaani mpaka usemee..!!Nilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
4 na 5 ipi kubwa? Sema bado 6Nilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Mbumbumbu haoUkisikia kuchanganyikiwa ndio huku, kweli aliyetoa msemo wa "MPAKA USEME" kwenye hii derby aliwaza mbali. Kila mtu anakuja na nyuzi za kutapa tapa mwingine ana dai kuwa kuna usaliti, wewe nawe unekuja na magoli sio halali. Hakuna anayetaka kukubali kuzidiwa, tufanye hizo sababu zote ni sahihi hivyo tumalize mjadala Simba ni timu bora iliyokamilika Yanga wamepata magoli kwa msada wa wasaliti na waamuzi. Mficha maradhi...........
Uchambuzi kumbe nayo ni kazi?Hii nchi kazi rahisi kuliko zote ni uchambuzi wa soka.
Wewe ni lizee la hovyo hovyo! Umeandika ugoro!Nilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Mpaka msemeeNilichokiona baada ya kuangalia marudio
1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.
2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.
3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.
4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.
Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.