Yanga alipata magoli mawili halali huku Simba ikipata moja leo pale kwa Mkapa

Yanga alipata magoli mawili halali huku Simba ikipata moja leo pale kwa Mkapa

Bado hamjasema itoshe kusema Simba imefungwa magoli mengi sana na Yanga.
 
Nilichokiona baada ya kuangalia marudio

1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.

2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.

3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.

4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.

Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Mbona madunduka hawajalipa kisasi cha gori 9 kwa 0..?
Waambie kama wataweza kuifuta hiyo rekodi .
Screenshot_20231020-124529_Chrome.jpg
 
Nilichokiona baada ya kuangalia marudio

1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.

2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.

3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.

4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.

Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Basi tukubaliane matokeo ya jana full time; simba 1 na Yanga 2.
 
Sawa. Yanga alipata magoli 2 halali, na Simba moja halali. Halafu, mshindi akawa ni Simba.
Walimu wa enzi hizo walikuwa na kazi,bora uliacha shule aise.
Yaani,kivyovyote na kiubishiubishi, Simba kamla Yanga. Duh!
 
Kwa highlights nilizoangalia YT goli mbili za Yanga zilikua offside. All in all, Simba kapakatwa 😂

7.JPG
 

Attachments

  • 7.JPG
    7.JPG
    20.1 KB · Views: 1
Point namba 4 ndo ya muhimu. Hizo za juu hazina maana, historia ishaandikwa, aibu tushaipata.
Shabiki wa kweli wa Mpira hawezi kufungwa akaona aibu. Bali tu inaumiza kiasi

Kwani wakati tunawapiga Yanga 5:0 mwaka 2012

Na 4-1 kombe la Azam unadhani walikuwa hawaumii.
 
Nilichokiona baada ya kuangalia marudio

1. Yanga kafunga magoli halali mawili ambayo ni lile la kwanza na la tatu. Kwahiyo Yanga anastahili kupongezwa kwa ushindi.

2. Goli la pili la Yanga kulikuwa na faulo kabla mpira haujachukuliwa, goli la nne kulikuwa na offside ya mchezaji aliyetoa pasi ya pili kabla ya ile ya mwisho.

3. Inonga aliugusa mpira kwenye box hivyo Ile penati haikuwa halali.

4. Simba ina wachezaji wazee, wamepitwa na wakati. Waachane na akina Bocco, Hussein, Chama, Kapombe na Ntibazonkiza.

Kisasi cha 5 kimelipwa, bado kile cha 4 na cha 6.
Takataka
 
Shabiki wa kweli wa Mpira hawezi kufungwa akaona aibu. Bali tu inaumiza kiasi

Kwani wakati tunawapiga Yanga 5:0 mwaka 2012

Na 4-1 kombe la Azam unadhani walikuwa hawaumii.
Na mambo si magumu hivi. This is football unless umebeti figo kuwa ukifungwa itolewe ikauzwe na usipewe hata mia ndo unaweza sema ni sawa matokeo yakikufanya uchanganyikiwe. Ila kama ni matokeo tu unasubiri wakati mwingine tutakutana tena.
 
Back
Top Bottom