Teh teh teh πππ noma sana....hebu Shadeeya Bantu Lady tuambieni zaidi kuhusu hiyo 'invisible' team.Msichokijuwa leo Yanga ilikuwa inapambana na timu mbili, moja uwanjani na moja ilikuwa invisible.
Sawa, sisi wakola tuasubiri!Hiki ndio kinakwenda kutokea huko ugenini tarehe 03/06/2023. Yanga ushindi ni popote ugenini au nyumbani. Waarabu hawataamini kama ilivyotokea kwa wale Waarabu wa Tunisia.
Goli moja walilopata Yanga ndio itakuwa chachu kwa Yanga na ndio litawapa nguvu ya kupambana tofauti na kama wangefungwa mbili bila.
Pia, ukichunguza kwa makini, utagundua kwa timu zenye uwezo, swala la home and away lina effects ndogo sana hasa katika soka la siku hizi. Timu mbovu ndio huwa zinaathirika sana zinapokuwa ugenini lakini sio vilabu vyenye ubora vinavyoweza kushinda popote na Yanga ikiwemo.
Muda utaaongea.
Hatuwezi kujifunza kwa watu wanaoishia robo miaka minne mfululizo.Ujuaji ndio sumu inayowaua yanga
Kwa alhilal ilikuwa hiv hvi yakatokea ya kutokea,
Kubaliniwaka huu mmeweka rekodi ya kucheza fainali kwa kupitia njia nyepesi lakin uwezo wa kushindana hamna
Angalieni mechi ya wydad simba walichezaje ili mjifunze namna ya kucheza mechi kubwa sio nyepesi kama unacheza na marumo
Kwani hizo karata mnachanga pekee yenu? Au bahatii iko kwenu tyuuh??Kwanini umewastua Mbumbumbu mapema hivi?
Ungekaa kimya tu maana kwenye mpira lolote huwa lawezekana, kikubwa ni kuchanga karata vyema na bahati iwepo.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umeshavurugwaaaaaa mapemaaa yoteee hii.Msichokijuwa leo Yanga ilikuwa inapambana na timu mbili, moja uwanjani na moja ilikuwa invisible.
Wao USMA hawajui jihadi? Hata kujilipua wanaweza pia. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata mbili moja tunakwenda kwenye penalties.
Hii ngoma bado mbichi, tena Yanga ndio anakwenda kujilipuwa kule kwao haina cha kupoteza.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata mie nashangaaa hapoYaani mtu ana wachambua anavyotaka ndani ya box kisha anatoa pasi ya upendo, alafu eti timu yenye uwezo,, ni uwezo upi huo broo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukitoa mtihani wa kutafuta chapaa, mtihani mwingine ambao ni mgumu haswa kwa Ndugu zetu Makolokolo ni kulazimisha furaha [emoji1787]Kwani hizo karata mnachanga pekee yenu? Au bahatii iko kwenu tyuuh??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata mie nashangaaa hapo
Alisikika chura mmoja kutoka Utopoloni akiweweseka.Hiki ndio kinakwenda kutokea huko ugenini tarehe 03/06/2023. Yanga ushindi ni popote ugenini au nyumbani. Waarabu hawataamini kama ilivyotokea kwa wale Waarabu wa Tunisia.
Goli moja walilopata Yanga ndio itakuwa chachu kwa Yanga na ndio litawapa nguvu ya kupambana tofauti na kama wangefungwa mbili bila.
Pia, ukichunguza kwa makini, utagundua kwa timu zenye uwezo, swala la home and away lina effects ndogo sana hasa katika soka la siku hizi. Timu mbovu ndio huwa zinaathirika sana zinapokuwa ugenini lakini sio vilabu vyenye ubora vinavyoweza kushinda popote na Yanga ikiwemo.
Muda utaaongea.
Unaweza kusema wa maana kumbe hola,make mbali na TV zenu siku hiyo hatuhitaji misibaHiki ndio kinakwenda kutokea huko ugenini tarehe 03/06/2023. Yanga ushindi ni popote ugenini au nyumbani. Waarabu hawataamini kama ilivyotokea kwa wale Waarabu wa Tunisia.
Goli moja walilopata Yanga ndio itakuwa chachu kwa Yanga na ndio litawapa nguvu ya kupambana tofauti na kama wangefungwa mbili bila.
Pia, ukichunguza kwa makini, utagundua kwa timu zenye uwezo, swala la home and away lina effects ndogo sana hasa katika soka la siku hizi. Timu mbovu ndio huwa zinaathirika sana zinapokuwa ugenini lakini sio vilabu vyenye ubora vinavyoweza kushinda popote na Yanga ikiwemo.
Muda utaaongea.
Usiwashe TV hiyo siku,ni mtego [emoji16][emoji16][emoji16]Hata mbili moja tunakwenda kwenye penalties.
Hii ngoma bado mbichi, tena Yanga ndio anakwenda kujilipuwa kule kwao haina cha kupoteza.
Mbona aliyefungwa na Ihefu ndio kabwabwaja mpaka karatasi ya kuandikia imeishaYani wewe unafungwa na Namungo bado unaongea maneno yoote haya. Dah! Kweli Dunia tambara bovu
Na kabeba ndoo 2 bado 2 zinamsubiria ila aliyejikongoja kuifunga Yanga FC bado anagugumia maumivu ya miaka miwili mfululizo kuwa mzururaji bora tu TZ [emoji28]Mbona aliyefungwa na Ihefu ndio kabwabwaja mpaka karatasi ya kuandikia imeisha