mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Hesabu zako nzuri,Tukutane hapa tarehe 19/03/2023 saa 3 usiku usikimbie.Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...
Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Tembo akikonda hawi mbuzi mkuu,, mazembe anaenda kukunyooshaYanga anapita..yanga atapigwa au draw na waarabu lakini atampiga mazembe kwake
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...
Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Hata ikatokea tumeshindwa kuendelea hatua ya robo fainali, bado tuna nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wetu wa NBC, na pia ASFC.Sijasoma uzi ila sio kwamba anaweza asifuzu, Yanga haendi popote..
Alimfunga Lubumbashi. Jambo muhimu Nabi aongee vizuri na ndugu zake wapange kikosi cha tatu.Mazembe hawezi kumfunga Bamako, Yanga itafuzu t
POLO.
Ndugu kwasasa mazembe Ni kibonde..Tembo akikonda hawi mbuzi mkuu,, mazembe anaenda kukunyoosha
Kwa akili zako unadhani utamfunga horoya?Tembo akikonda hawi mbuzi mkuu,, mazembe anaenda kukunyoosha
We mkia unateseka ukiwa wapi au nganda imekulea hao mikia wenzio wamefezuYanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...
Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Tangu lini mbumbumbu akajua kusoma.Sijasoma uzi ila sio kwamba anaweza asifuzu, Yanga haendi popote..