SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,797
- 25,177
Mwamba anakwambia "hawawezi shinda, labda draw au kupigwa."Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...
Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Endelea kuishi kwa kukariria na kuishi kwa mazoea. Unadhani watu wako palepale milele.