Yanga anaweza kutofuzu robo finali CAFCC

Yanga anaweza kutofuzu robo finali CAFCC

Hesabu yako IPO sawa.

Yanga Wana Timu nzuri mno.

Bado ni wageni kwenye Mashindano ya kimataifa.
Viongozi wao Bado wanajifunza.
Wapo shule.

Kwa kikosi walichonacho yanga wangekuwanacho Simba nahisi Simba ingefika Fainali.

Mapungufu makubwa sana ya Simba ni.
6,8,9. Hebu fikiria Hawa watu wangekuwa Simba.
Bangala.
Aucho.
Mayele.

Simba ingekuwa BINGWA wa CAF 2023.
Mimi shabiki wa Simba ila hapa unafiki umewekwa pembeni.
 
Hesabu yako IPO sawa.

Yanga Wana Timu nzuri mno.

Bado ni wageni kwenye Mashindano ya kimataifa.
Viongozi wao Bado wanajifunza.
Wapo shule.

Kwa kikosi walichonacho yanga wangekuwanacho Simba nahisi Simba ingefika Fainali.

Mapungufu makubwa sana ya Simba ni.
6,8,9. Hebu fikiria Hawa watu wangekuwa Simba.
Bangala.
Aucho.
Mayele.

Simba ingekuwa BINGWA wa CAF 2023.
Football mind
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Ndoto za mchana hizi
 
Unashangaa wenzio kwa kutabiri matokeo halafu na wewe unasema "mi nipo hapa Tuone km Monastir atamfunga Yanga kwa mkapa". Kama unadai hao wenzio wana matatizo ya akili, sijui wewe u hali gani.
Muwe mna weka akiba ya maneno
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Kvma nyoko
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Unasemaje?
 
Kama ulikaribia kuchukua point tatu ila kwa sababu ya u-underdog wako ukaruhusu bao la jioni,, Mazembe anakwenda kuchukua alama zote tatu, na kwa taarifa yako uwezo wa kumfunga Monastir huna,, mnapigwa bao zilezile mbili za set piece game inaisha,, na wakati huo huo Mazembe ana kusubiri kwa hamu tu
Unavyopayuka sasa kama vile wew ndo kocha wa mazembe
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
We jamaa ni punga si bure
 
Back
Top Bottom