Yanga anaweza kutofuzu robo finali CAFCC

Yanga anaweza kutofuzu robo finali CAFCC

Mngekua na uwezo mungekua musha fuzu nyie ni wenzetu tu ila mna kiburi na kujiona. Raja, Mamelodi, Espence, Wydad hawaombi Mungu kama nyie ndio ujue nyie ni wa hapa hapa tu
Mbona hujamtaja bingwa mara nyingi zaidi Al ahly au na yeye haombi mungu ?
 
Ni kweli Yanga SC, Safari yake inaishia hapa hapa makundi, Jumapili kwa Mkapa anapigwa na akienda Congo anapigwa na Mazembe
Kwa Mkapa hatoki mtu ni stori imehamia Yanga! Ngoja tuone!
 
Pamoja na kwamba utopolo siwapend ila ukweli ni mchungu yanga anaingia robo fainali mapema sana .
Kikosi kinawabeba sana hao warabu Sion wakitoka Kwa mkapa.
Wanachonifurahisha vyura ni wapambanaji mwanzo mwisho tofaut na sisi Simba huwa tunakata tamaa hasa tukitanguliwa na kupanic juu, pia sisi Simba tukitangulia goli Moja tunaanza ujinga wa kucheza na majukwaa na kujituma kunapungua.
Mimi karata yanga Nampa uto na anatinga mapema sana na nawaombea wafike robo Ili wakakutane na wanaume wa shoka Ili wajipime na pengine wataanza kutuheshimu Simba Kwa kuona mziki uliopo hapo robo fainali na wataelewa why tumekwamia hapo .
Kwa maandalizi ambayo yanaendelea huku Avic Town siwaoni US Monastir Kama watatoka.

Afu kingine mkuu @mbwe,Sisi hatutaishia robo kwa nature ya wapinzani ambao tutakutana nao
 
Kama ulikaribia kuchukua point tatu ila kwa sababu ya u-underdog wako ukaruhusu bao la jioni,, Mazembe anakwenda kuchukua alama zote tatu, na kwa taarifa yako uwezo wa kumfunga Monastir huna,, mnapigwa bao zilezile mbili za set piece game inaisha,, na wakati huo huo Mazembe ana kusubiri kwa hamu tu
Underdog tumempiga africaine kwake,tukapiga mazembe tatu,monastir akacheza Kama mgeni kwake,jumapili lazima aliwe kichwa
 
mbona hujasema kama mazembe akipigwa au kutoa sare na Bamako msimamo utakuaje?
 
Yan sijawahi kutana na Mashabiki wa Soka Vichwa Maji km wa Kibongo..Ivi huo Mpira mnao uongelea ni mpira gani? Huu wa Duara ? Unaocgezwa kwenye uwanja wa Wazi ama?? Wanafungwa PSG 3-0 na Rennes..Hii PSG yenye Messi,Mbappe,neymar,vitinha,Ramos,,Achraf hakimi, marco verrati, juan bennat, kimpembe, Renato sanchez..Watu wana UEFA tatu tatu humo mpk Tano na Tuzo binafs kibao..Rennes wana nn..sembuse Monastir kufungwa na Yanga..Sas Nini maana ya mpira wa Miguu kuchezwa km tayari matokeo yanajulikana..Kwel Tanzania kn Wagonjwa weng wa Akili..Bas mi nipo hapa Tuone km Monastir atamfunga Yanga kwa mkapa..Acheni Upumbavu mpira haujawah kuwa na Matokeo mpk uchezwa dk90..! Alieanzisha huu uzi aende Hospital akachekiwe akili Im sure He is Mental Illness Trust me📌
 
Hata kama yanga haitafuzu kwenye hatua inayofata ya robo fainali haina shida Kwa sababu malengo ya club msimu huu ilikuwa ni kushiriki na kufika hatua ya makundi tu ikipita huko mbele ni ziada tu.
 
Yan sijawahi kutana na Mashabiki wa Soka Vichwa Maji km wa Kibongo..Ivi huo Mpira mnao uongelea ni mpira gani? Huu wa Duara ? Unaocgezwa kwenye uwanja wa Wazi ama?? Wanafungwa PSG 3-0 na Rennes..Hii PSG yenye Messi,Mbappe,neymar,vitinha,Ramos,,Achraf hakimi, marco verrati, juan bennat, kimpembe, Renato sanchez..Watu wana UEFA tatu tatu humo mpk Tano na Tuzo binafs kibao..Rennes wana nn..sembuse Monastir kufungwa na Yanga..Sas Nini maana ya mpira wa Miguu kuchezwa km tayari matokeo yanajulikana..Kwel Tanzania kn Wagonjwa weng wa Akili..Bas mi nipo hapa Tuone km Monastir atamfunga Yanga kwa mkapa..Acheni Upumbavu mpira haujawah kuwa na Matokeo mpk uchezwa dk90..! Alieanzisha huu uzi aende Hospital akachekiwe akili Im sure He is Mental Illness Trust me📌
Unashangaa wenzio kwa kutabiri matokeo halafu na wewe unasema "mi nipo hapa Tuone km Monastir atamfunga Yanga kwa mkapa". Kama unadai hao wenzio wana matatizo ya akili, sijui wewe u hali gani.
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Mazembe ipi ya kumfunga Yanga
 
Unashangaa wenzio kwa kutabiri matokeo halafu na wewe unasema "mi nipo hapa Tuone km Monastir atamfunga Yanga kwa mkapa". Kama unadai hao wenzio wana matatizo ya akili, sijui wewe u hali gani.
Soma nlicho andika hakikisha umekielewa sijasimama kwa mtu npo on Win Win situation..📌
 
Eti akiend kule Atafungwa nyoro nyoro nyoro nyoro..Emu acheni kujipangia matokeo jamani..Mpira unatoaga matokeo ya kikatili kwasababu unachezwa kweny uwanja wa wazi..na ili mliamini hili Tukutane Tare19 hpa Usiku matokeo tutakuw nayo mkonon ndo mjue bado hamjaujua mpira Ndugu zangu Wachen vimaneno
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
NANUKUU... Mazembe akimfunga Real Bamako... Mwisho wa kunukuu..!! VIPI ASIPOMFUNGA?
 
IMG-20230317-WA0008.jpg
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
TP Mazembe hashindi, hicho ndio kinawapa uhakika Yanga
 
Back
Top Bottom