Yanga anaweza kutofuzu robo finali CAFCC

Yanga anaweza kutofuzu robo finali CAFCC

522459A1-A7E7-4518-A714-85245394D564.jpeg
 
Yan sijawahi kutana na Mashabiki wa Soka Vichwa Maji km wa Kibongo..Ivi huo Mpira mnao uongelea ni mpira gani? Huu wa Duara ? Unaocgezwa kwenye uwanja wa Wazi ama?? Wanafungwa PSG 3-0 na Rennes..Hii PSG yenye Messi,Mbappe,neymar,vitinha,Ramos,,Achraf hakimi, marco verrati, juan bennat, kimpembe, Renato sanchez..Watu wana UEFA tatu tatu humo mpk Tano na Tuzo binafs kibao..Rennes wana nn..sembuse Monastir kufungwa na Yanga..Sas Nini maana ya mpira wa Miguu kuchezwa km tayari matokeo yanajulikana..Kwel Tanzania kn Wagonjwa weng wa Akili..Bas mi nipo hapa Tuone km Monastir atamfunga Yanga kwa mkapa..Acheni Upumbavu mpira haujawah kuwa na Matokeo mpk uchezwa dk90..! Alieanzisha huu uzi aende Hospital akachekiwe akili Im sure He is Mental Illness Trust me📌
Niliongea hapa Sasa Nadhani Mmeona madhara ya Domo kuponza Kichwa😎📌🔨 FT:- YANGA 2 - 0 MONASTIR....Ahsanteni
 
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...

Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.
Uko wap wewe mtabiri uchwaraaaa
 
Leo mbinguni wamesaga meno kwa vilio.
Timu yenu ikisemwa inawauma sana hadi nasikia wengine mnagoma kula. Mnasoma comment kwa huzuni na zile zinazowauma saana mnazisave hadi siku mtakapopata kitu cha kujibu 🤣😂🤣 Mna kazi sana!
 
Timu yenu ikisemwa inawauma sana hadi nasikia wengine mnagoma kula. Mnasoma comment kwa huzuni na zile zinazowauma saana mnazisave hadi siku mtakapopata kitu cha kujibu [emoji1787][emoji23][emoji1787] Mna kazi sana!
Risiti za waropokaji lazima tutunze alafu tunazijia baadae ukiwa umeshikwa na aibu sasa kukumbusha usinene ukamala.
 
Back
Top Bottom