msafwa93
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 4,786
- 5,963
Dah ila watu..Sijasoma uzi ila sio kwamba anaweza asifuzu, Yanga haendi popote..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah ila watu..Sijasoma uzi ila sio kwamba anaweza asifuzu, Yanga haendi popote..
Tatizo lenu mnawekeza kwenye vitu vidogooo ..Hata ikatokea tumeshindwa kuendelea hatua ya robo fainali, bado tuna nafasi kubwa ya kutetea ubingwa wetu wa NBC, na pia ASFC.
Kuna shida nyingine? Mwakani tutashiriki tena.
Sina as long as ninazo za kuandika ..Akili za kusoma uzi wote utakuwa nazo wewe Kolowizard? [emoji847]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ndo uhalisia mkuuDah ila watu..
Endelea kuotaKama kawaida yetu. Tulianza na Ngao ya jamii, tunachukua Kombe la Ligi kuu, na tutamalizia na Kombe la Azam Sports Federation. Yaani tunafanya kama msimu uliopita.
Mazembe atashinda Bamako!?..akidroo tu kaliwa,maana yanga lazima atapata pointi jumapiliTembo akikonda hawi mbuzi mkuu,, mazembe anaenda kukunyoosha
Kwenye vikubwa huko mna nini?Tatizo lenu mnawekeza kwenye vitu vidogooo ..
Baadae "hao Monastir ni wachovu, bahasha za GSM , kombe la looser" maneno buku 2Huna uwezo ya kumfunga Monastir
Kama ulikaribia kuchukua point tatu ila kwa sababu ya u-underdog wako ukaruhusu bao la jioni,, Mazembe anakwenda kuchukua alama zote tatu, na kwa taarifa yako uwezo wa kumfunga Monastir huna,, mnapigwa bao zilezile mbili za set piece game inaisha,, na wakati huo huo Mazembe ana kusubiri kwa hamu tuMazembe atashinda Bamako!?..akidroo tu kaliwa,maana yanga lazima atapata pointi jumapili
We we e mwenyewe unajua kama uwezo wenu kwenye caf ni mdogo wala haiitaji maelezo mengiBaadae "hao Monastir ni wachovu, bahasha za GSM , kombe la looser" maneno buku 2
vipi wewe uliekula bao 3 nyumbani u giant wako ulikusaidia niniKama ulikaribia kuchukua point tatu ila kwa sababu ya u-underdog wako ukaruhusu bao la jioni,, Mazembe anakwenda kuchukua alama zote tatu, na kwa taarifa yako uwezo wa kumfunga Monastir huna,, mnapigwa bao zilezile mbili za set piece game inaisha,, na wakati huo huo Mazembe ana kusubiri kwa hamu tu
Mngekua na uwezo mungekua musha fuzu nyie ni wenzetu tu ila mna kiburi na kujiona. Raja, Mamelodi, Espence, Wydad hawaombi Mungu kama nyie ndio ujue nyie ni wa hapa hapa tuWe we e mwenyewe unajua kama uwezo wenu kwenye caf ni mdogo wala haiitaji maelezo mengi
Yanga ana point 7, mchezo unaofuata dhidi ya Union sportive de monastr hawawezi kushinda labda draw au kupigwa. Tufanye katoa draw anafikisha point 8...
Mazembe akimfunga Real Bamako anafikisha point 6, mchezo wa mwisho ni Lubumbashi trust me Yanga anakufa Mazembe anakuwa na point 9, Yanga 8 watakuja na maneno mengi ya kuwadanganya Ila kiufupi timu mbovu inashindia makosa binafsi ya makipa wa ligi.