Yanga ataishangaza dunia

MIMI NAJUA YANGA WATAPIGAA HATA WACHEZE UCHI.


BRO MSHANA NITAKUSHAMBILIA SANA BAADA YA MPIRA KUMALIZIKA.

Mara ya mwisho yanga ALIKULA
4-0
 
aminia mzee
 
Hahahaha tunakueshimu kaka mvua iyo iyo ndo iliwaua mbili taifa kwanini isingegoma hapo, yn kaka leo kilingeni pako yale matunguli yako yamekuongopea. All in all, njia pekee ya yanga kuchukua hili kombe ni kwa kuliiba tu. Mshana Jr
 
Wengi wao wanachezea timu za ufaransa naona
Kuwafunga ni kazi labda tutumie na ngumi
 
Yanga msimu huu hajawahi fungwa game mbili mfululizo
 
EPUKA MATAPELI
HUYU MGANGA PANZI NDO ALITUKOLEZA SISI UTOPOLO ETI KWAMBA KIPINDI KILE JEZI YETU ILIKUWA NA MIZIMU MINGI MPAKA SANAMU LA ASKARI WA POST NI MZIMU ETI AKASEMA JEZI YA YANGA(UTO) NI NZITO SANA KWAIYO WATAKUWA NA MSIMU MGUMU SANA CHA AJABU UTO TUKABEBA NDOO

KAMA HAITOSHI...HUYUHUYU SANGOMA AKASEMA JEZI YA YANGA(UTOPOLO) HII AWAY KIT NYEUSI INAMIZIMU YA GIZA NA TAKATAKA GANI SIJUI KWAIVO KILA WAKIIVAA WATAFUNGWA LAKINI IKAWA KINYUME CHAKE

OGOPA MATAPELI
UTO HATUTOBOI MWARABU ANATUBANDUA GOLI 7 KWA UCHACHE
 
Hii ndio raha ya soka...
Yaani tambo tu za mashabiki ni burudani tupu.

Leo Mshana Jr kawatabiria wana Yanga mema, viva Simba...!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mimi ni Simba damu...
Ila kama mfuatilia soka nilimwambia jamaa yangu wa Yanga kuwa watabeba ndoo... Atulie asubiri ila yeye sasa, kihoro kama chote.

Kesho asubuhi magazetini

YANGA YAMALIZA KAZI ALGERIA

YANGA YAUA

YANGA BINGWA KOMBE LA SHIRIKISHO

YANGA YAFANYA MAAJABU AFRIKA

ALICHOFANYA YANGA HAKITASAHAULIKA

HAO NDIO YANGAAAAA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…