Yanga ataishangaza dunia

Tuupe muda wakati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aiseeeee !!
 
Unaota wswe
 
Hapa hakuna cha kilinge wala kilingeni, muhimu nilishawaambia waandae leso za kutosha kujifutia machozi.
 
Huu ni mtazamo wangu. Hivyo huna sababu ya kunipangia. Halafu hakuna sehemu kwenye maelezo yangu nimesema Aucho ni Mungu.
Vipi umekufaje shekhe🫣🫣🫣[emoji1322][emoji1322][emoji1322]
 
Utabiri wako umetimia kiusahihi bila kujari Yanga haijachukuwa kombe lakini Yanga ndio iliyoshinda mechi.
 
Utabiri wako umetimia kiusahihi bila kujari Yanga haijachukuwa kombe lakini Yanga ndio iliyoshinda mechi.
Unafiq kitu kibaya sheikh. Unajikomba sana inakusaidia nini? Mwenyewe amekwambia ataondoka na kombe. Na hatujaondoka na kombe. Nyie mikia sijui mna nini... Achaneni na Yanga. Mambumbumbu nyie.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]



KIJANI NA MAJI NI NINI NA NINI VILE [mention]Mshana Jr [/mention]
 
Kama Yanga hawajafanya kafara lolote la kumwaga damu leo gemu ni lao

Mark my words!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…