Kuna visababishi ambavyo hutupunguzia nguvu zetu kiroho.. ! Hiyo ya yanga siasa na kafara za damu vimechangia pakubwaHakika imeshangaza Dunia
asante kwa kuongea ukweliIla utopolo mmejua kupambana na waarabu second class mwaka huu, hongereni kwa hilo
Cha msingi sisi tumeshinda mechi, tumemkanda Mwarabu kwao aggregate ni 2-2.Kama Yanga hawajafanya kafara lolote la kumwaga damu leo gemu ni lao
Mark my words!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera Kwa kuchukua kombe la kumkanda mwarabu kwaoCha msingi sisi tumeshinda mechi, tumemkanda Mwarabu kwao aggregate ni 2-2.
Hizo kanuni za kuzawadiana ubingwa wanazijuwa wao.
Nasisitiza utabiri wako umetimia kwa usahihi kabisa tena kwao.
Wasio na jicho la kiroho walitabiri Yanga kufungwa magoli mengi kwao
[emoji2][emoji1][emoji2] tunapoyaona ya kiroho tusiwe wabanifu kuyaweka bayana! Bila kujali matamanio yetuunayumba mzee
Kombe lingine Mayele kuwa mfungaji bora kiatu cha dhahabu na Diara Man of the match.Hongera Kwa kuchukua kombe la kumkanda mwarabu kwao
Mshana hii post imekuheshimisha kuliko wapumbavu wachache wa Simba wanavyolazimisha iaminike.[emoji2][emoji1][emoji2] tunapoyaona ya kiroho tusiwe wabanifu kuyaweka bayana! Bila kujali matamanio yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
hata hili mtu roho inamuuma kuonekana Mshana hii mechi aliiona kwa jicho la kiroho[emoji23]Mshana hii post imekuheshimisha kuliko wapumbavu wachache wa Simba wanavyolazimisha iaminike.
Uliyoyaona kiroho ndio yaliyotokea, hata penati Waarabu haikuwassidia kupata goli.
Ukitaka kujuwa roho zetu sasa hatupo kwenye ushabiki Bali ni wachawi tu, hata hili mtu roho inamuuma kuonekana Mshana hii mechi aliiona kwa jicho la kiroho huku wale wapumbavu wachache wakijiaminisha Yanga itapigwa hamsa. Sasa roho zinawauma, Yanga kamkanda Mwarabu Nyumbani kwake.
Waarabu wenyewe hawana furaha kamili na ubingwa wa style hii.
Thread 'Maono ya herufi na tarakimu. Je kuna uhai ndani yake?' Maono ya herufi na tarakimu. Je kuna uhai ndani yake?Shida siyo maandishi.
Shida ni wanapotokea watu wanaoamini hayo maandishi
Relax uto kombe wamechukua wanaojua baada ya kuwakanda kwenu.Kombe lingine Mayele kuwa mfungaji bora kiatu cha dhahabu na Diara Man of the match.
Mtaishi na makasiriko sana safari hii, hamieni Azzam naye tunakuja kumkanda vile vile.
Wivu na mchawi ni twin brother, mtu aliyejawa na wivu ni mchawi indirect.Thread 'Maono ya herufi na tarakimu. Je kuna uhai ndani yake?' Maono ya herufi na tarakimu. Je kuna uhai ndani yake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna shabiki duniani anayeweza kusikia raha kufungwa kwenye mchezo ambao baadaye unampa kombe.Relax uto kombe wamechukua wanaojua baada ya kuwakanda kwenu.
Hatimaye jezi nzito imefika final ya Afrika !hata hili mtu roho inamuuma kuonekana Mshana hii mechi aliiona kwa jicho la kiroho[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna cha kuona kiroho wala nini ..huo ni utabiri kama utabiri Tu, ni kama kubet Tu.. Ukitaka kujua ni ni utabiri Tu angalia mada zingine za kiroho hata nusu tu hayajatimia.Mshana hii post imekuheshimisha kuliko wapumbavu wachache wa Simba wanavyolazimisha iaminike.
Uliyoyaona kiroho ndio yaliyotokea, hata penati Waarabu haikuwassidia kupata goli.
Ukitaka kujuwa roho zetu sasa hatupo kwenye ushabiki Bali ni wachawi tu, hata hili mtu roho inamuuma kuonekana Mshana hii mechi aliiona kwa jicho la kiroho huku wale wapumbavu wachache wakijiaminisha Yanga itapigwa hamsa. Sasa roho zinawauma, Yanga kamkanda Mwarabu Nyumbani kwake.
Waarabu wenyewe hawana furaha kamili na ubingwa wa style hii.
Hata sijui kipenzi katuonaje [emoji23]Kutuonaje kwani bebii...!?