Mambo ya kiroho hayana formula moja! Kuna vingi nyuma yake hutengeneza kitu ndio kikamilike ama kisikamilike! Kiwe ama kisiweKuna timu inaitwa Norwich hua tunaiita Yanga ya ulaya kwakua jezi zao ni njano na kijani kama Yanga
Inachezea Uingereza.
Ambako mvua ipo mara nyingi.
Na si wana rangi ya kijani? Na kuna mvua?
Kaangalie maisha yao kwenye ligi.
Ile mada ulisoma kichwa cha habari tuu ama ulisoma na maudhui yake? Ulielewa kilichoandikwa?
Raha wallipata Kwa Mkapa..hivyo Wana Raha na kombe. Uto mna kombe la Mwamnyeto kumkaba BenzazaHakuna shabiki duniani anayeweza kusikia raha kufungwa kwenye mchezo ambao baadaye unampa kombe.
Nadhani unakumbuka hata Magufuli uwanja wa Taifa aliwaambia nini siku mnapewa kombe la ubingwa halafu hiyo mechi mkakandwa na Kagera sugar mbele ya Magufuli.
Endelea kujizima data, maana ubongo wako memory ni ni KB 10 tu.
Hutaweza kuitetea hapa.Ile mada ulisoma kichwa cha habari tuu ama ulisoma na maudhui yake? Ulielewa kilichoandikwa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ile mada nyingine ya updates za jana niliandika hivi[emoji1541][emoji1541][emoji1541]
Mbumbumbu wewe... Unajipendekeza wanaume utaolewa bila hata mahari.Mama'ko.
Utaambiwa ni mambo mtambuka.Kuna timu inaitwa Norwich hua tunaiita Yanga ya ulaya kwakua jezi zao ni njano na kijani kama Yanga
Inachezea Uingereza.
Ambako mvua ipo mara nyingi.
Na si wana rangi ya kijani? Na kuna mvua?
Kaangalie maisha yao kwenye ligi.
mtu aliyejawa na wivu ni mchawi indirect[emoji23]Wivu na mchawi ni twin brother, mtu aliyejawa na wivu ni mchawi indirect.
Acha majungu ya kusmea " hizo kanuni za kuzawadiana ubingwa" kwani kipindi at group stage ulikuwa hujui kuanzia knock out stage kuna away goal advantage???Cha msingi sisi tumeshinda mechi, tumemkanda Mwarabu kwao aggregate ni 2-2.
Hizo kanuni za kuzawadiana ubingwa wanazijuwa wao.
Nasisitiza utabiri wako umetimia kwa usahihi kabisa tena kwao.
Wasio na jicho la kiroho walitabiri Yanga kufungwa magoli mengi kwao
Hapana mkuu haujadunda maana mipira iliisha upepoUchawi umedunda mkuu??[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mimi ni Yanga damu! Ila kwenye hii mechi Waarabu nawapa 80% ya ushindi, na Yanga nawapa 20% pekee.
Kukosekana kwa Aucho pale kati, kumevuruga kabisa timu yetu. Huu ni ukweli mchungu.