Yanga ataishangaza dunia

Yanga ataishangaza dunia

Mshana kweli? Nahsi mafuta kwa mgongo wa chupa, kwa mashabiki wa utopolo.
 
Pamoja na woga wa kafara la maji(mvua) kuna uwezekano mkubwa wa kumfunga mwarabu kwao na kuondoka na kombe la shirikisho kwa mara ya kwanza katika historia ya soka nchini

Yanga inawakilishwa na rangi ya kijani ambayo kiasili ni rangi inayowakilisha uhai, kiroho rangi ya kijani ni rangi yenye nguvu mno!
Kijani hakiwezi kusitawi bila maji, na maji hutokea kwa namna nyingi na mojawapo ni mvua! Ni maji ya mvua pekee ndio huleta ustawi wa kijani kwa ukubwa na kwa haraka na bila gharama!

Kafara la maji kwa yanga kutoka SIMBA huwa linafanikiwa kwakuwa SIMBA ni rangi nyekundu kiwakilishi cha moto! Kijani kwenye nyekundu hakina nguvu kabisa!
Kama Yanga hawajafanya kafara lolote la kumwaga damu leo gemu ni lao


Mark my words!

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunasubiri kaka🤣🤣🤣🤣🤣
 
Pamoja na woga wa kafara la maji(mvua) kuna uwezekano mkubwa wa kumfunga mwarabu kwao na kuondoka na kombe la shirikisho kwa mara ya kwanza katika historia ya soka nchini

Yanga inawakilishwa na rangi ya kijani ambayo kiasili ni rangi inayowakilisha uhai, kiroho rangi ya kijani ni rangi yenye nguvu mno!
Kijani hakiwezi kusitawi bila maji, na maji hutokea kwa namna nyingi na mojawapo ni mvua! Ni maji ya mvua pekee ndio huleta ustawi wa kijani kwa ukubwa na kwa haraka na bila gharama!

Kafara la maji kwa yanga kutoka SIMBA huwa linafanikiwa kwakuwa SIMBA ni rangi nyekundu kiwakilishi cha moto! Kijani kwenye nyekundu hakina nguvu kabisa!
Kama Yanga hawajafanya kafara lolote la kumwaga damu leo gemu ni lao


Mark my words!

Sent using Jamii Forums mobile app
inshallah
 
Pamoja na woga wa kafara la maji(mvua) kuna uwezekano mkubwa wa kumfunga mwarabu kwao na kuondoka na kombe la shirikisho kwa mara ya kwanza katika historia ya soka nchini

Yanga inawakilishwa na rangi ya kijani ambayo kiasili ni rangi inayowakilisha uhai, kiroho rangi ya kijani ni rangi yenye nguvu mno!
Kijani hakiwezi kusitawi bila maji, na maji hutokea kwa namna nyingi na mojawapo ni mvua! Ni maji ya mvua pekee ndio huleta ustawi wa kijani kwa ukubwa na kwa haraka na bila gharama!

Kafara la maji kwa yanga kutoka SIMBA huwa linafanikiwa kwakuwa SIMBA ni rangi nyekundu kiwakilishi cha moto! Kijani kwenye nyekundu hakina nguvu kabisa!
Kama Yanga hawajafanya kafara lolote la kumwaga damu leo gemu ni lao


Mark my words!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanastawi kwenye mvua na wakati wanapigwa kwenye mvua?😄

Halafu unasema nyekundu ndo kiboko ya kijani, hujui kuwa USM Alger ni wekundu?

Una imply kwamba walifungwa na Simba kwasababu ya kafara ya damu?

Kwenye kuishangaza dunia siyo kweli. Sasa hivi kuna kombe la dunia U-20 kule Nigeria hatua za robo fainali. Nigeria wako robo fainali. Kombe la shirikisho hilo labda kuishangaza Africa.
 
Kila lakheri chama langu la Yanga!Leteni kombe ili mnyama aone wivu!
 
Uchawi hauna nafasi kwenye mbungi. Kipondo kiko palepale.
 
Acheni kujifariji, Mnazani waarabu ni sawa ihefu fc sio[emoji23]
1685817054650.png
 
Dunia where .. dunia which?

uto ni uto atakufurahisha kwa dakika 1 then anakufanya ulie kwa mda usiojulikana
 
Hata mimi naamini mtani leo anatufunga mdomo. Mtani all the best. Lete kombe hilo. Piga uyo mwarabu.
 
Ni kweli yanga ataishangaza Dunia kwa kufungwa nje ndani na timu ambayo haijawai kushinda ugenini.
 
Back
Top Bottom