Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
Mnajimu kolo koloniUtopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
π
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Hongereni Makolo Kwa ubingwa. Hakika nyie ni hatari mtapata pointi 90, yaani 3x30. Hongereni sana.Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
π
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Nimechungulia vibuyu nimemulika vilinge kuna uhalisia asilimia 90Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
[emoji116]
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Uongo huu mzee wangu nakuheshimu sanaNimechungulia vibuyu nimemulika vilinge kuna uhalisia asilimia 90View attachment 2777552
Sent using Jamii Forums mobile app
Aya amka usingizi umeishaUtopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
[emoji116]
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Asante kwa heshima[emoji1545] lakini usinihukumu sasa! Naomba tuupe muda wakatiUongo huu mzee wangu nakuheshimu sana
Hapo umetumia kigezo cha kupiga lamli au mbinu na ufundi? Sijui kwanini msimu huu mashabiki wamekosa kujipa muda na kusubiri hadi raundi ya kwanza itamatike. Yanga kufungwa na Ihefu sio kitu kipya, hata msimu uliopita alifungwa na huyo huyo Ihefu na ubingwa kabeba. Tusubiri muda utatoa majibuUtopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
π
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Tabiri mechi tatu za leo tuone lamuli zako kama zina mashikoUtopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
[emoji116]
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Alisikika Chura Mmoja AkisemaYanga ni kweli ata fungwa tena au ata droo hivyo ndivyo soka lilivyo ila katika kipengele cha ubingwa Kwa apa Bongo Yanga ndie ubingwa wenyewe.
Anajua jinsi ya kucheza na kutwaa ubingwa, Kwasasa timu zingine zitasubiri sana.
Yanga anajua Simba atapote wapi na atafurahi wapi kwasasa kitufe kilicho bonyezwa ni cha Simba kufurahi.
Kipo kitufe chenu cha mahangaiko kinakuja mpaka siku mtakapo tubu kwanini mlimfanyia vile Manji.
Hivyo ndivyo ilivyo kwa miamba yote ya soka, kujua nguvu na udhaifu wa mpinzani wako nje na ndani ya uwanja, kwa apa Bongo Simba hafurukuti kamwe.
Sawa kijana wa Chifu Mangungo. Jiandae kupata pongezi za kutosha kutoka kwa vijana wenzako wa Msovero Kilosa.Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
π
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Wewe mzee hivi hiyo chemli kwenye ulimwengu wa giza uwa ina maana gani nakumbuka hata yule marehemu wa WWE Bray Whatt alikuwa anapenda sana kuingia nayo ulingoni huku taa zote zikiwa zimezimwaNimechungulia vibuyu nimemulika vilinge kuna uhalisia asilimia 90View attachment 2777552
Sent using Jamii Forums mobile app
Amka wewe utajikojolea..Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.
nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.
mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
[emoji116]
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.
Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.