Yanga atapoteza mechi nyingine tatu za ligi na ata-draw mechi tatu

Yanga atapoteza mechi nyingine tatu za ligi na ata-draw mechi tatu

Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.

nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.

mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
[emoji116]
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.

Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Ukiona unaota sana ndoto za mchana ujue karibu utakuwa chizi.
 
Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.

nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.

mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.

Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Ni kujitoa ufahamu tu.
Kuna kila dalili Simba atapoteza mechi karibu tano either kwa draw au kwa kufungwa. dalili zipo na kuna siku yatatokea tu, kuna kila dalili maana ukuta unavuja sana karibu kila mechi anafungwa na kinachosaidia ni juhudi tu za mchezaji mmojammoja ambaye anasawazisha au kufunga goli la kitatanishi.

There's every sign that this team is weak asf na kuna sku tu huu mchezo wao wa kurudi kinyumenyume watakalia hogo.
 
Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.

nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.

mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.

Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Tunashukuru sheikh yahaya
 
Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.

nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.

mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.

Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Sawa mtabiri wewe endelea kutabiri
Utakula mpira maana umeufanya ndo maisha yako
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.

nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.

mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.

Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
kolo fc watapoteza 6na droo 8,piga mahesabu bngwa nani...
 
Ni kujitoa ufahamu tu.
Kuna kila dalili Simba atapoteza mechi karibu tano either kwa draw au kwa kufungwa. dalili zipo na kuna siku yatatokea tu, kuna kila dalili maana ukuta unavuja sana karibu kila mechi anafungwa na kinachosaidia ni juhudi tu za mchezaji mmojammoja ambaye anasawazisha au kufunga goli la kitatanishi.

There's every sign that this team is weak asf na kuna sku tu huu mchezo wao wa kurudi kinyumenyume watakalia hogo.
Usisahau juhudi za marefa
 
Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.

nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.

mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.

Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Sawa
 
Idadi ya point za atakazopoteza kwa kufungwa: 3*3 = 9
Idadi ya point atakozopoteza kwa kusare: 3*2= 6

Jumla ya point atakazopoteza: 9+6 = 15
Idadi ya mechi kwenye ligi: 30
Jumla ya point za mechi zote 3*30 =90
Jumla ya point atakazokusanya: 90-15 =75
Kwa hiyo yanga atakusanya point 75.
Swali, je msimu uliopita yanga alikusanya point ngapi zilizomwezesha kuwa bingwa?
Mleta mada aje atupe mrejesho
 
Utopolo atapoteza mechi zote mbili za Darby kwa kufungwa na Simba,mechi zote mbili nje ndani.

nyingine moja atafungwa aidha na Ihefu,Kagera au Namungo.

mechi zingine tatu Uto ata draw na timu hizi.
👇
Azam.
Mtibwa.
Mashujaa.

Hapo sasa malalamiko kwa body ya ligi,tff na marefa yataanza kwa kasi ya mwanga.
Naam atapigwa nje ndani kenge wa kijani hawa
 
1. Kuna mtu alitoa utabiri mechi ya IHEFU vs YANGA, mwanzoni alianza kwa kutukanwa ila mwishoni watu wakampa maua yake. Inaonyesha wengi humu ni Matomaso au wenye ujuaji wa hovyo siyo?

2.Kisa cha kifo cha JPM kilishasababisha nisiwe nawabishia sana watu,kama nina mashaka bora nikae kimya tu. Kama mtakumbuka, kabla hata ya Uchaguzi Mkuu 2020 kuna watu walishauri ingekuwa vyema JPM asingegombea tena maana hangemaliza mhula wake wa pili. Ila wabishi tukawatukana na kuwazodoa watabiri wale. Mambo yalivyotokea kama ilivyotabiriwa threads zikaanza kufufuliwa. Huwa tunasubiri hadi itokee eeeh?

3.Kitendo cha Simba kukipeleka kijezi chake kileleni mwa Mt.Kilimanjaro ni kiko ki spiritual zaidi. Na tahadhari ilishatolewa.
 
Hatimae makolo wamekuwa watabiri, Bado kidogo utawasikia wakisema GSM ananunua mechi, mara anatembeza bahasha, Aliyewaita mbumbumbu aliona mbali sana.
 
1. Kuna mtu alitoa utabiri mechi ya IHEFU vs YANGA, mwanzoni alianza kwa kutukanwa ila mwishoni watu wakampa maua yake. Inaonyesha wengi humu ni Matomaso au wenye ujuaji wa hovyo siyo?

2.Kisa cha kifo cha JPM kilishasababisha nisiwe nawabishia sana watu,kama nina mashaka bora nikae kimya tu. Kama mtakumbuka, kabla hata ya Uchaguzi Mkuu 2020 kuna watu walishauri ingekuwa vyema JPM asingegombea tena maana hangemaliza mhula wake wa pili. Ila wabishi tukawatukana na kuwazodoa watabiri wale. Mambo yalivyotokea kama ilivyotabiriwa threads zikaanza kufufuliwa. Huwa tunasubiri hadi itokee eeeh?

3.Kitendo cha Simba kukipeleka kijezi chake kileleni mwa Mt.Kilimanjaro ni kiko ki spiritual zaidi. Na tahadhari ilishatolewa.
Utaliwa sana kuku na waganga kwa mwendo huo
 
Back
Top Bottom