Tuseme ukweli,Yanga hakina kikosi makini ,huwezi hata kufananisha kikosi cha yanga na kagera sugar au namungo,ni kwa vile vyombo vya habari vinawakuza tu lakini yanga hamna kikisi makini ,lalamikieni usajili na siyo kufukuza viongozi,nye hamna wachezaji
Zahera alikuwa mtu sahihi sana yanga