Augustine Genius
JF-Expert Member
- Apr 14, 2016
- 1,216
- 1,486
Pale Man utd Antony Martial anapokea pesa ndefu kuliko Marcus Rashford na Rashford ndio mfungaji magoli.Yanga wanashangaza sana
Wako radhi wawalipe wageni 20M ila feisal anayewafungia kila match wampe 3M
Binafsi natamani dogo apate team ya maana hata kama ni mkataba avunje awalipe
Mpira una umri asijezeeka na jina kubwa bila mali
Ukijadiliana na mimi tuliza mihemko. La sivyo utajikuta unaandika vituko kama hiki ulichoandika. Mi nikikwambia kitu pigia mstari. Weka ushabiki pembeni.Mwanafalsafa hebu soma ili andiko halafu fananisha na zile taka taka zako
hao wote wapo ika hawana match fitness bwanaMorrison bado yupo kwao.
Aziz Ki bado yupo kwao.
Feisal tunaambiwa hana professional kutoka kambini sawa
Lakini Hawa Azziz key na Morrison wanajua kesho yanga ana game ngumu na IHEFU ambayo alipoteza game iliyopita wachezaji
Morrison
Aziz
Feisal
Bangala wote hawapo halafu tukikosa matokeo tunaanza kutafuta mchawi.
Bado yanga hatuna professional hatupo serious bado watu wanalipwa pesa kibao za bure morrison analipwa mil 18 kwa mwezi ili akae kwao?
Viongozi acheni utoto Hawa watu waitwe kambini haraka Sana!!
Kaa utulie sasaSawaaa alisign bila bunduki[emoji41]
Ila Morrison haitumikii club ipasavyo, ana visababu vingi sana, nadhan anaongoza kucheza mechi chache kwa first 11 wotehao wote wapo ika hawana match fitness bwana
Na ndicho alichokifanya Fei Toto, badala ya kuona wivu akaamua kutoona wivu na akatafuta kwingine kwenye maslahi, wao Yanga sasa ndio wakaona wivu na kuanza kumbania Fei Toto.Tusiendeshwe kwa hisia kiasi hicho. Kazi yoyote ni mapatano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Hakuleweshwa pombe, hakurukwa na akili na wala hakushikishwa bunduki kusaini mkataba wakati ameuona hauna maslahi kwake.
Ni serikalini peke yake ndio wanaolipana mishahara kwa kufata rank. Ila kwa taasisi binafsi ni swala la mapatano. Ni kawaida kuona dereva X analipwa sh laki tano kwa mwezi wakati dereva Y analipwa laki nane tena pengine hata elimu kazidiwa na X. Sasa usiingiwe na wivu kisa mwenzio analipwa zaidi, kama huoni maslahi kwako usikubali kuingia kandarasi ya kuifanya kazi, tafuta pengine. Ni rahisi tu
Na mishahara ya wabunge na walimu inapatikana kwa njia ipi mkuu?Kwa mfano wako huu, basi hata walimu waanze kulipwa mishahara na posho nono kama zile za wabunge.
Maana wanafanya kazi kubwa ya kuzalisha wasomi, na pia katika mazingira magumu, ukilinganisha na wabunge ambao kazi yao kubwa ni kugonga tu meza na kuitikia 'ndiyooooooo'!!
NB: mshahara kwa mchezaji unatokana na yeye mwenyewe kukaa mezani na mwajiri wake, halafu wanafanya makubaliano.
Duniani kote mishahara ya wachezaji huwa hailingani. Kila mchezaji hulipwa mshahara kutokana na mkataba wake alioingia na club. Hakuna njia ya mkato kama hiyo ya Fei Toto.
Yanga iandike barua TFF kuhairisha mechi.Morrison bado yupo kwao.
Aziz Ki bado yupo kwao.
Feisal tunaambiwa hana professional kutoka kambini sawa
Lakini Hawa Azziz key na Morrison wanajua kesho yanga ana game ngumu na IHEFU ambayo alipoteza game iliyopita wachezaji
Morrison
Aziz
Feisal
Bangala wote hawapo halafu tukikosa matokeo tunaanza kutafuta mchawi.
Bado yanga hatuna professional hatupo serious bado watu wanalipwa pesa kibao za bure morrison analipwa mil 18 kwa mwezi ili akae kwao?
Viongozi acheni utoto Hawa watu waitwe kambini haraka Sana!!
Mimi siyo mwanasheria hivyo sijui kama hatua alizochukua ni sahihi au lah. Wanasheria wa shirikisho la soka letu wameona hakutumia njia sahihi kwa kukiuka mkataba. Hivyo kama anahisi kaonewa basi aende ngazi za juu zaidi ili akajue kama kilichoamuliwa ni sahihi au kaonewa.Na ndicho alichokifanya Fei Toto, badala ya kuona wivu akaamua kutoona wivu na akatafuta kwingine kwenye maslahi, wao Yanga sasa ndio wakaona wivu na kuanza kumbania Fei Toto.
RubbishUkijadiliana na mimi tuliza mihemko. La sivyo utajikuta unaandika vituko kama hiki ulichoandika. Mi nikikwambia kitu pigia mstari. Weka ushabiki pembeni.
Majibu naamini umeyapata jana.Morrison bado yupo kwao.
Aziz Ki bado yupo kwao.
Feisal tunaambiwa hana professional kutoka kambini sawa
Lakini Hawa Azziz key na Morrison wanajua kesho yanga ana game ngumu na IHEFU ambayo alipoteza game iliyopita wachezaji
Morrison
Aziz
Feisal
Bangala wote hawapo halafu tukikosa matokeo tunaanza kutafuta mchawi.
Bado yanga hatuna professional hatupo serious bado watu wanalipwa pesa kibao za bure morrison analipwa mil 18 kwa mwezi ili akae kwao?
Viongozi acheni utoto Hawa watu waitwe kambini haraka Sana!!
Yanga wanashangaza sana
Wako radhi wawalipe wageni 20M ila feisal anayewafungia kila match wampe 3M
Binafsi natamani dogo apate team ya maana hata kama ni mkataba avunje awalipe
Mpira una umri asijezeeka na jina kubwa bila mali