Yanga bado hakuna professionalism

Yanga bado hakuna professionalism

Yanga wanashangaza sana

Wako radhi wawalipe wageni 20M ila feisal anayewafungia kila match wampe 3M

Binafsi natamani dogo apate team ya maana hata kama ni mkataba avunje awalipe

Mpira una umri asijezeeka na jina kubwa bila mali
Pale Man utd Antony Martial anapokea pesa ndefu kuliko Marcus Rashford na Rashford ndio mfungaji magoli.
 
Ko pasua kichwa mori mori hajarudi??????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hangaikeni nalo si mlidhani mmemkomoa simba!
 
Morrison bado yupo kwao.

Aziz Ki bado yupo kwao.

Feisal tunaambiwa hana professional kutoka kambini sawa

Lakini Hawa Azziz key na Morrison wanajua kesho yanga ana game ngumu na IHEFU ambayo alipoteza game iliyopita wachezaji

Morrison
Aziz
Feisal
Bangala wote hawapo halafu tukikosa matokeo tunaanza kutafuta mchawi.

Bado yanga hatuna professional hatupo serious bado watu wanalipwa pesa kibao za bure morrison analipwa mil 18 kwa mwezi ili akae kwao?

Viongozi acheni utoto Hawa watu waitwe kambini haraka Sana!!
hao wote wapo ika hawana match fitness bwana
 
Mkuu hebu soma hizi taarifa mbili uone wenzetu Simba walivo wako vizuri😂😂😂
 

Attachments

  • Screenshot_20230116-092531.png
    Screenshot_20230116-092531.png
    98 KB · Views: 1
  • Screenshot_20230116-090951.png
    Screenshot_20230116-090951.png
    79.3 KB · Views: 1
Tusiendeshwe kwa hisia kiasi hicho. Kazi yoyote ni mapatano kati ya mwajiri na mwajiriwa. Hakuleweshwa pombe, hakurukwa na akili na wala hakushikishwa bunduki kusaini mkataba wakati ameuona hauna maslahi kwake.

Ni serikalini peke yake ndio wanaolipana mishahara kwa kufata rank. Ila kwa taasisi binafsi ni swala la mapatano. Ni kawaida kuona dereva X analipwa sh laki tano kwa mwezi wakati dereva Y analipwa laki nane tena pengine hata elimu kazidiwa na X. Sasa usiingiwe na wivu kisa mwenzio analipwa zaidi, kama huoni maslahi kwako usikubali kuingia kandarasi ya kuifanya kazi, tafuta pengine. Ni rahisi tu
Na ndicho alichokifanya Fei Toto, badala ya kuona wivu akaamua kutoona wivu na akatafuta kwingine kwenye maslahi, wao Yanga sasa ndio wakaona wivu na kuanza kumbania Fei Toto.
 
Kwa mfano wako huu, basi hata walimu waanze kulipwa mishahara na posho nono kama zile za wabunge.

Maana wanafanya kazi kubwa ya kuzalisha wasomi, na pia katika mazingira magumu, ukilinganisha na wabunge ambao kazi yao kubwa ni kugonga tu meza na kuitikia 'ndiyooooooo'!!

NB: mshahara kwa mchezaji unatokana na yeye mwenyewe kukaa mezani na mwajiri wake, halafu wanafanya makubaliano.

Duniani kote mishahara ya wachezaji huwa hailingani. Kila mchezaji hulipwa mshahara kutokana na mkataba wake alioingia na club. Hakuna njia ya mkato kama hiyo ya Fei Toto.
Na mishahara ya wabunge na walimu inapatikana kwa njia ipi mkuu?
 
Morrison bado yupo kwao.

Aziz Ki bado yupo kwao.

Feisal tunaambiwa hana professional kutoka kambini sawa

Lakini Hawa Azziz key na Morrison wanajua kesho yanga ana game ngumu na IHEFU ambayo alipoteza game iliyopita wachezaji

Morrison
Aziz
Feisal
Bangala wote hawapo halafu tukikosa matokeo tunaanza kutafuta mchawi.

Bado yanga hatuna professional hatupo serious bado watu wanalipwa pesa kibao za bure morrison analipwa mil 18 kwa mwezi ili akae kwao?

Viongozi acheni utoto Hawa watu waitwe kambini haraka Sana!!
Yanga iandike barua TFF kuhairisha mechi.
 
Na ndicho alichokifanya Fei Toto, badala ya kuona wivu akaamua kutoona wivu na akatafuta kwingine kwenye maslahi, wao Yanga sasa ndio wakaona wivu na kuanza kumbania Fei Toto.
Mimi siyo mwanasheria hivyo sijui kama hatua alizochukua ni sahihi au lah. Wanasheria wa shirikisho la soka letu wameona hakutumia njia sahihi kwa kukiuka mkataba. Hivyo kama anahisi kaonewa basi aende ngazi za juu zaidi ili akajue kama kilichoamuliwa ni sahihi au kaonewa.
 
Morrison bado yupo kwao.

Aziz Ki bado yupo kwao.

Feisal tunaambiwa hana professional kutoka kambini sawa

Lakini Hawa Azziz key na Morrison wanajua kesho yanga ana game ngumu na IHEFU ambayo alipoteza game iliyopita wachezaji

Morrison
Aziz
Feisal
Bangala wote hawapo halafu tukikosa matokeo tunaanza kutafuta mchawi.

Bado yanga hatuna professional hatupo serious bado watu wanalipwa pesa kibao za bure morrison analipwa mil 18 kwa mwezi ili akae kwao?

Viongozi acheni utoto Hawa watu waitwe kambini haraka Sana!!
Majibu naamini umeyapata jana.

Hakuna Aucho, Hakuna Morrison, Hakuna Nkane, Hakuna Bangala, Hakuna Feitoto na Hakuna Aziz Ki, lakini mtu kalala tena kwa goli moja la kijanja sana ambalo halijawahi kutokea katika mpira wa Tanzania.

Kwa hiyo badala ya kukosoa wataalm, tulia ujifunze.
 
Yanga wanashangaza sana

Wako radhi wawalipe wageni 20M ila feisal anayewafungia kila match wampe 3M

Binafsi natamani dogo apate team ya maana hata kama ni mkataba avunje awalipe

Mpira una umri asijezeeka na jina kubwa bila mali

Hiyo m3 c Ali sign ye mwenyewe tu
 
Back
Top Bottom