Yanga bado tunamuhitaji Fei Toto

Yanga bado tunamuhitaji Fei Toto

Rejea kauli ya Rage utapata majibu, wao wenyewe walikuwa wanasema humu Feibwa hapa hapa na gemu za kimataifa hana kitu leo wanakuja na mapya.
Hivi nyie Utopolo namna gani.! Kwani kauli ya Rage ndo sheria? Kama ni hivyo ile kauli ya Kocha wenu Luc Eymael na Haji Manara basi itakuwa hukumu kabisa.
 
Nabi kila siku anapiga simu kwa Fei kubembeleza, inawezekana hata leo ameshapiga, anajua kuna kitu Fei anacho wengine wote hawana.
 
Nabi kila siku anapiga simu kwa Fei kubembeleza, inawezekana hata leo ameshapiga, anajua kuna kitu Fei anacho wengine wote hawana.
Wewe ni mke wa Nabi au Feisal? hadi ujue simu wanazopigiana. Watanzania kwa umbea na kutunga stori mpo vizuri.
 
Back
Top Bottom