Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Weka kumbukumbu vizuriTulishakushauri humu baki kulekule kwenye siasa huku kwa michezo hukuwezi achana nako.
Hizi ndizo nyakati zenu za kujifariji. Hata kipindi kile mnawasajili wakina Okrah na Okwah, mliikejeli Yanga kwa kusajili Wacongo wengi!Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Mpira ni pesa lakini kuuza Wachezaji wazuri maana yake ni kwamba hamuhitaji mafanikioHizi ndizo nyakati zenu za kujifariji. Hata kipindi kile mnawasajili wakina Okrah na Okwah, mliikejeli Yanga kwa kusajili Wacongo wengi!
Ila mwisho wa siku Wacongo hao hao wakabeba vikombe vyote vya Ligi ya ndani.
Ukweli uko hivyoHee kumbe kalazimishwa??
Yanga inauza wachezaji wazuri, halafu inasajili wachezaji wazuri zaidi, wamempa mkataba kocha mwenye CV kubwa kuliko Prof. Nabi!!, nkMpira ni pesa lakini kuuza Wachezaji wazuri maana yake ni kwamba hamuhitaji mafanikio
Kabla ya Kuwepo Mayele ilikuwa nafasi ya ngapi kwanza tuanzie hapaWatahombania nafasi ya 8 na akina ihefu
Yani wewe unadhani Yanga ni Chadema bila Mbowe? Unafeli sana.Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Wewe kwenye soka huna tofauti na chief mangungu wa msovero..Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Yanga sio chadema wwHii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .