Yanga bila Fiston Mayele haitakuwemo kwenye Top 4

Yanga bila Fiston Mayele haitakuwemo kwenye Top 4

Tunawatizama mnavyo tuombea njaa na mnaonekana mna matarajio makubwa,sasa msije kushangaa inakuwa kinyume chake naona mtaenda kwa Mo kulilia bil 20 zenu.

Manake msimu uliopita kila mkipigwa mlikuwa mnaanza kuulizia bilion 20.
 
Yani wewe unadhani Yanga ni Chadema bila Mbowe? Unafeli sana.

Hebu rudi kule ukapambane na DP ya Waarabu, jukwaa hili huna upako nalo utadharaurika, ili jukwaa lina watunza takwimu muulize mwenzao okwi BOBAN SUNZU hana hamu na Uzi wake wa takwimu za Mayele na Kibu Denis.

Umeinunuwa aibu kwa gharama ya bando tu, nakuonea huruma.
Muda utaongea
 
Shadeeya mtani hili listriket linaloitwa sudi ni noma sana, kwenye career yake ya soka amefumania nyavu mara 3000 what is a bull striker??
[emoji116][emoji116][emoji116]
IMG_20230717_211614.jpg
 
Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .

Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4

Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
alikuwa anacheza peke yake?

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Makombe yote 20 na kitu yanga iliyabeba ikiwa na mayele?
 
Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .

Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4

Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Utaukimbia Uzi Wako Soon..
 
Yani wewe unadhani Yanga ni Chadema bila Mbowe? Unafeli sana.

Hebu rudi kule ukapambane na DP ya Waarabu, jukwaa hili huna upako nalo utadharaurika, ili jukwaa lina watunza takwimu muulize mwenzao okwi BOBAN SUNZU hana hamu na Uzi wake wa takwimu za Mayele na Kibu Denis.

Umeinunuwa aibu kwa gharama ya bando tu, nakuonea huruma.
Ule uzi ulimshushia hadhi mpaka akahamia jukwaa la mapishi na urembo.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom