joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Muda utaongeaYani wewe unadhani Yanga ni Chadema bila Mbowe? Unafeli sana.
Hebu rudi kule ukapambane na DP ya Waarabu, jukwaa hili huna upako nalo utadharaurika, ili jukwaa lina watunza takwimu muulize mwenzao okwi BOBAN SUNZU hana hamu na Uzi wake wa takwimu za Mayele na Kibu Denis.
Umeinunuwa aibu kwa gharama ya bando tu, nakuonea huruma.
Unaijuwa namba 6 inayotangazwa usiku huu na Yanga?Muda utaongea
Mkude atawasaidia nini ?Unaijuwa namba 6 inayotangazwa usiku huu na Yanga?
Wewe kuwa bize na Chadema tu kwenye mpira hakuna ulijuwalo.
Katiba mpya nitaidai ila kwenye soka nako nipoWewe endelea kudai katiba mpya mkuu
Haya mambo ya mpira achana nayo
alikuwa anacheza peke yake?Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
Unamuamini mtu aliyefungwa kwa wizi wa mipira ?
Utaukimbia Uzi Wako Soon..Hii ndio taarifa ninayoitoa leo kwa Wapenda soka wote na hasa kwa Mashabiki wa Yanga .
Baada ya Mayele kulazimishwa kuuzwa ili viongozi wa Yanga wapate Pesa, nataka wale viherehere wote wa Yanga wajue kwamba Msimu ujao hawataonja Top 4
Mayele ndiye aliyekuwa mafanikio ya Yanga kwa misimu yote miwili iliyopita (unaweza kubisha ukipenda) , baada ya yeye kuondolewa Yanga kwa Lazima tegemeeni majonzi msimu ujao .
itakuwa ajabu sana !Utaukimbia Uzi Wako Soon..
Ngoja Tuone..itakuwa ajabu sana !
Ule uzi ulimshushia hadhi mpaka akahamia jukwaa la mapishi na urembo.Yani wewe unadhani Yanga ni Chadema bila Mbowe? Unafeli sana.
Hebu rudi kule ukapambane na DP ya Waarabu, jukwaa hili huna upako nalo utadharaurika, ili jukwaa lina watunza takwimu muulize mwenzao okwi BOBAN SUNZU hana hamu na Uzi wake wa takwimu za Mayele na Kibu Denis.
Umeinunuwa aibu kwa gharama ya bando tu, nakuonea huruma.