Yanga bila kupata mshambuliaji namba 9 haiendi popote

Yanga bila kupata mshambuliaji namba 9 haiendi popote

Mkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Mpira mchezi wa wazi jamaa leo hasa kipindi chapili dk 46-90 mlipotea wazee
 
Mkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Kwani walipenda kubadili? Au timu kubwa iliwalazimisha kubadili game na mwisho wakakata moto?
 
Yanga waliheshimu mpinzani,na pia Ahly alikuwa anathema defensive game hadi watu 8 wakilinda goli na idadi ndogo ya wachezaji wa Yanga kwenye eneo la mpinzani lilichangia kupata nafasi chache za kufunga yaani 4 dhidi ya 7 za Al ahly.Gamondi alijitahidi kubadili mchezo kila kipindi ila wachezaji walishindwa kutoka kwenye mtego wa Ahly kupooza mchezo
Al Ahly wanachezaga hivyo siku zote,wanaenda wote na wanarudi wote.
 
Jana 5-3-2 [emoji1787][emoji1787][emoji1787].gsmondi akaona bora alimwage kati .bora nusu shari kuliko shari kamili

Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
 
Sawa lakini kwa approach na game ya jana walikuwa sawa kabisa. Kimsingi ni kweli pale Mbele hakuna mbadala wa Mayele ni sawa na Simba tu kutokuwa na mbadala wa Inonga na Malone.
Mpira wa ahly umeiona kipindi cha pili?. Ule Kule Misri ndio tutakaoanza nao
 
Mkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Mliupiga mwingi[emoji16]
20231203_100533.jpg
 
Mkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Lakini pia tukubali yanga kacheza na bingwa wa afrika ni lazima wangeingia kwa kuwaeshimu, Aly ahly sio timu ya kwenda kucheza nayo kizembe unaweza kupasuka vibaya, tahadhari kwa yanga ilikuwa kubwa ndio maana mashambulizi yalikuwa machache na counter attack za Aly ahly zilikuwa hatari sana kwenye goli la yanga, ivyo yanga nafasi bado wanayo na wataonyesha ilo wakikutana na timu ambazo Wana uwezo wa kupishana nazo Kama medeama na belouzdad majibu yatapatikana
 
Lakini pia tukubali yanga kacheza na bingwa wa afrika ni lazima wangeingia kwa kuwaeshimu, Aly ahly sio timu ya kwenda kucheza nayo kizembe unaweza kupasuka vibaya, tahadhari kwa yanga ilikuwa kubwa ndio maana mashambulizi yalikuwa machache na counter attack za Aly ahly zilikuwa hatari sana kwenye goli la yanga, ivyo yanga nafasi bado wanayo na wataonyesha ilo wakikutana na timu ambazo Wana uwezo wa kupishana nazo Kama medeama na belouzdad majibu yatapatikana
Huyo Bingwa simba wakiwa wazuri walishampasua kwa Mkapa mara mbili,Yanga walitakiwa washinde no excuse hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kufunga ni kazi ngumu hata striker wao Kahraba ambaye ndo top scorer wa cafcl hajafunga
Tusiwape pressure akina mzize
Me naona hizi mechi zinampa uzoefu
Atakuja kuwa striker mzuri
 
Mkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Hili linanishangaza pia, fightng spirit yao wanaipata baada ya kufungwa.
Naorodhesha wachambuzi Wazuri wa soka, umo kwenye orodha yangu Mkuu.
 
Back
Top Bottom