Mpira mchezi wa wazi jamaa leo hasa kipindi chapili dk 46-90 mlipotea wazeeMkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Kwani walipenda kubadili? Au timu kubwa iliwalazimisha kubadili game na mwisho wakakata moto?Mkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Al Ahly wanachezaga hivyo siku zote,wanaenda wote na wanarudi wote.Yanga waliheshimu mpinzani,na pia Ahly alikuwa anathema defensive game hadi watu 8 wakilinda goli na idadi ndogo ya wachezaji wa Yanga kwenye eneo la mpinzani lilichangia kupata nafasi chache za kufunga yaani 4 dhidi ya 7 za Al ahly.Gamondi alijitahidi kubadili mchezo kila kipindi ila wachezaji walishindwa kutoka kwenye mtego wa Ahly kupooza mchezo
Mpira wa ahly umeiona kipindi cha pili?. Ule Kule Misri ndio tutakaoanza naoSawa lakini kwa approach na game ya jana walikuwa sawa kabisa. Kimsingi ni kweli pale Mbele hakuna mbadala wa Mayele ni sawa na Simba tu kutokuwa na mbadala wa Inonga na Malone.
Mliupiga mwingi[emoji16]Mkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Lakini pia tukubali yanga kacheza na bingwa wa afrika ni lazima wangeingia kwa kuwaeshimu, Aly ahly sio timu ya kwenda kucheza nayo kizembe unaweza kupasuka vibaya, tahadhari kwa yanga ilikuwa kubwa ndio maana mashambulizi yalikuwa machache na counter attack za Aly ahly zilikuwa hatari sana kwenye goli la yanga, ivyo yanga nafasi bado wanayo na wataonyesha ilo wakikutana na timu ambazo Wana uwezo wa kupishana nazo Kama medeama na belouzdad majibu yatapatikanaMkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Huyo Bingwa simba wakiwa wazuri walishampasua kwa Mkapa mara mbili,Yanga walitakiwa washinde no excuse hapoLakini pia tukubali yanga kacheza na bingwa wa afrika ni lazima wangeingia kwa kuwaeshimu, Aly ahly sio timu ya kwenda kucheza nayo kizembe unaweza kupasuka vibaya, tahadhari kwa yanga ilikuwa kubwa ndio maana mashambulizi yalikuwa machache na counter attack za Aly ahly zilikuwa hatari sana kwenye goli la yanga, ivyo yanga nafasi bado wanayo na wataonyesha ilo wakikutana na timu ambazo Wana uwezo wa kupishana nazo Kama medeama na belouzdad majibu yatapatikana
Na yanga alishampasua pia kwa mkapa Kama unasemea kumpasua sio issue ya kujadiliHuyo Bingwa simba wakiwa wazuri walishampasua kwa Mkapa mara mbili,Yanga walitakiwa washinde no excuse hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa msilalamike kundi ngumu kisa hamjashindaNa yanga alishampasua pia kwa mkapa Kama unasemea kumpasua sio issue ya kujadili
Akuna anayelalamika na ugumu wa kundi unabaki pale pale aiondoi ukweli
Na amini tusingefungwa Wala tusingefunga game ingeisha 0-0Hili linanishangaza pia, fightng spirit yao wanaipata baada ya kufungwa.
Mkuu lakini yanga leo wameupiga,nashangaa why Yanga wakifungwa wanakuwa aggressive zaidi lakini bila kufungwa mtakimbizana kwanza, nakiri Yanga wapo vizuri tu,wangekutana tena na hii simba yetu wana uwezo wakutupasua tena,mpira wanaocheza ni tofauti,wangeendelea kucheza ule mpira wao walioanza nao ushindi ulikuwa wazi ,ila Al Ahly wajanja wakaupooza mchezo halafu wakifanya shambulizi ni gafla na pasi zinazofika,wakipata tu wanaupooza mpira tena ndo sehemu Yanga waliwezwa
Naorodhesha wachambuzi Wazuri wa soka, umo kwenye orodha yangu Mkuu.Hili linanishangaza pia, fightng spirit yao wanaipata baada ya kufungwa.
Nadhani ni Dabil mkuuNaorodhesha wachambuzi Wazuri wa soka, umo kwenye orodha yangu Mkuu.