Roca fella
JF-Expert Member
- May 13, 2023
- 2,077
- 4,152
Mkeka wa leo namuua yanga kwa kutoa draw ππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuwekee na ya kiongozi wenu aliyezimiaHii ndio Hali ya Makolo mpaka Sasa Kila gemu likitokea[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 2988968
hii mechi tunamuomba Mola kwa bidii atuwezeshe ushindi,na wachezaji wetu tunawaomba wacheze kwa bidii kubwa na maarifa ya hali ya juu,tupate ushindiKaribuni Kwa Live updates za mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara kati ya Mtibwa Sugar (wenyeji) dhidi ya Mabingwa watetezi , Young Africans sc. Mchezo utaanza leo saa kumi jioni, Katika uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
Tunahitaji ushindi tuTunahitaji Sare Tu [emoji2960]
Mi naona tuwe na moyo wa huruma kwa hawa vijana wetu wakata miwa. yaani msimu huu inaonesha kuimaliza biashara mapema kabisa tena ikiwezekane leo Doctor Gamond awapange kina Nkane.Hawa mtibwa wangekua wanaeleweka tungewaachia hizi point 3 wasishuke daraja maana si tunahitaji ushindi mmoja tu kati ya mechi 4 zilizosalia
Shida watapuyanga tu huku mbele hata tukiwaachia,au waje wawe na mdomo kama makolo maana nao miaka ya nyuma tulishawahi kuwanusuru washishuke
Acha tuwapige tu
Kila la kheri Yangaaaππππππͺπͺ!
Daimambele.View attachment 2989263
View attachment 2989260
Karibuni Kwa Live updates za mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara kati ya Mtibwa Sugar (wenyeji) dhidi ya Mabingwa watetezi , Young Africans sc. Mchezo utaanza leo saa kumi jioni, Katika uwanja wa Namungu Complex, Morogoro.
Endapo Yanga atashinda mchezo huu atafikisha alama 71 ambayo haitaweza kufikiwa na club yoyote inayoshiriki Ligi Kuu, Hivyo Rasmi atatangaza ubingwa wake kwa mara ya tatu mfululizo (Champions in a row) na kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara mara 30, Rekodi ambayo haijafikiwa na club yoyote hapa nchini.
Kwa upande wa pili, Mtibwa Sugar yupo katika hati ya kushuka daraja akiwa na alama 20 pekee na jumla ya michezo 26 akiwa nafasi ya mwisho kabisa katika msimamo wa Ligi.
Kikosi TayariKaribuni tena kwenye show za Gamondi, hapa utapata burudani, Elimu na kipigo kwa wenye kiherehere ππππ
ZooUshindi wanguvu kwa bingwa wa East ..